MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,184
- 5,435
Uhuru kuongezewa miaka mitano na wapigakura wake kwani ni chaguo la Muumba.Wakenya kupitia raisi wao ametumia muda wa sekunde kadhaa kuwasimamisha wakenya kwa shughuli zote ili kuungana nasi ktk msiba wa watoto wetu huko arusha.
Mungu akuzidishie hekima hizo baba.Umeonesha upendo kwetu.
Ikianza utajua endelea kutenda dhambi kwanzaRamadhanI inaanza lini?
Ajabu wa kwetu badala ya pole kala rambirambi na matusi juu kwa ndugu zetu wa bukoba eti serikali haikuleta tetemeko kila mtu atajiju..... jamani hv kweli huyu ndiye aliyetabiriwa ama tungoje mwingine?.Naona viwete hawaponi,wenye ukoma hatutakasiki wala viziwi hawasikii msaada jamani kabla sijapeleka ripoti kwa yohana.Mungu ambariki UK kwa kutujali watanzania, hata wakati wa tetemeko Kagera alikua first responder.
Siasa ya Kenya ni kubwa sana kwa Dereva hana uzoefu wala mbinuNa sio kwamba hajui kuwa kuna vikao vya siri baina ya odinga na dereva wa lori,
Uhuru ni rais muungwana haonyeshi visasi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ikianza utajua endelea kutenda dhambi kwanza
Huyu ni mhuni fulani tu aliyeingia ikulu kwa njia za uvunjaji wa kanuni za kumpata mgombea urais kupitia chama chake cha ccm, pia akahitimisha kwenda ikulu kwa njia za wizi na udanganyifu kupitia jeshi la Polisi na Lubuva. .... Ni upumbavu uliovuka mipaka kumsingizia Mungu eti ni chaguo lake!Ajabu wa kwetu badala ya pole kala rambirambi na matusi juu kwa ndugu zetu wa bukoba eti serikali haikuleta tetemeko kila mtu atajiju..... jamani hv kweli huyu ndiye aliyetabiriwa ama tungoje mwingine?.Naona viwete hawaponi,wenye ukoma hatutakasiki wala viziwi hawasikii msaada jamani kabla sijapeleka ripoti kwa yohana.
mlitaka kumuingiza yule fisadi kwa njia za mataokeo feki....mkadhibitiwa vilivyo...tukutane 2025Huyu ni mhuni fulani tu aliyeingia ikulu kwa njia za uvunjaji wa kanuni za kumpata mgombea urais kupitia chama chake cha ccm, pia akahitimisha kwenda ikulu kwa njia za wizi na udanganyifu kupitia jeshi la Polisi na Lubuva. .... Ni upumbavu uliovuka mipaka kumsingizia Mungu eti ni chaguo lake!
Yule yeye anatafuta tu fursa ya kupenyeza watu wake,hayo mengine hayamuhusuuWadau vipi kwa swaiba wetu no 1 kwa sasa Rwanda,Hajasema chochote kuhusiana na Tukio hili??