Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who is getting deceived?Deception
Fedha zenyewe mnadhulumu ni majaliwa yake YEHOVA kuuona mwaka walipeni waathilika wa tetemeko ndo uje uulizie mzigo mpyaAmetoa sh. Ngapi? Za pole.
Mnataka kupiga hela eeh?Ametoa sh. Ngapi? Za pole.
First responder kabla ya nani?Mungu ambariki UK kwa kutujali watanzania, hata wakati wa tetemeko Kagera alikua first responder.
Nikiulizwa marais wenye busara kwa Bara la Afrika sitasita kumtaja UK, the guy is humble and down to the earth!! Huyu ndo ana haki ya kulilia kuombewa maana matendo yake yanaonesha uchaji Mungu wa hali ya juu! Mungu aibariki team UHURUTO iingie tena Ikulu kwa miaka mingine 5!!Na sio kwamba hajui kuwa kuna vikao vya siri baina ya odinga na dereva wa lori,
Uhuru ni rais muungwana haonyeshi visasi.
Umenielewa inatoshaFirst responder kabla ya nani?
Hatuishi kwa mkate tuWangenyamazishwa leo ungekuwa unakula mlo mmoja wa shida na kushindia mhogo kwa pilipili?.
Huyu tuliye naye anaamini kila tatizo ni msumari kwa kuwa mkononi ameshika nyundo.
Ukweli bado suruali ya jk imempwaya.
Hata waisrael walikuwa na neno lakini wakakosa mkate ikabidi waondoke na neno ili wapate mkate.Kuwa na neno hakuzuii wewe kuuliza mkate wako.Hatuishi kwa mkate tu
Hata roho yako inakusuta .mlitaka kumuingiza yule fisadi kwa njia za mataokeo feki....mkadhibitiwa vilivyo...tukutane 2025
Labda,sijui lakini huenda ikawa japo sina uhakika kama inaweza tokea,may be......!.Ingekuwa ajali hii imewatokea wakenya, Dereva wa Lori angekaa kimya kama kwamba hana taarifa yoyote.
Ona akili kama hizi!Ni pesa ngapi itaondoa majonzi ya kuondokewa na mtoto wako kipenzi?Sympathy na empathy ni muhimu zaidi wakati huu!Ametoa sh. Ngapi? Za pole.
Kama nani kwa mfano?Uhuru ni born town na amelelewa vizuri yaani hakuwa na maisha ya kuunga unga,ugali dagaa sijui,ugali tembele mala kwenda kuchunga ng'ombe kunywa mji hayo hayo wanayokunywa ng'ombe, kucheza mbina n.k,kifupi hajui dhiki ikoje ndiyo maana yuko poa sana.Tatizo letu hapa viongozi wengi tulionao familia zao zilikuwa choka mbaya mama muuza kindi au gongo la mavi Baba pusha au anashinda bar za mataputapu matokeo yake ndiyo hayo,yaani kiongozi anakumbuka alivyosota alivyokuwa kwa wazazi wake kwa maisha aliyoishi ya kudesh-desh mala washindie uji, kwa hiyo lazima awe na roho mbaya,mchoyo, mbinafisi,limbukeni,mshamba n.k
Usimkashifu muumba wako wa akili yako yakijinga mpuuzi wewe usiyejua kuchanganua mamboUhuru kuongezewa miaka mitano na wapigakura wake kwani ni chaguo la Muumba.