Hongera Mh.Uhuru Kenyata watanzania tumekusikia,tumekuelewa tupo nawe.

Hongera Mh.Uhuru Kenyata watanzania tumekusikia,tumekuelewa tupo nawe.

Wakenya kupitia raisi wao ametumia muda wa sekunde kadhaa kuwasimamisha wakenya kwa shughuli zote ili kuungana nasi ktk msiba wa watoto wetu huko arusha.
Mungu akuzidishie hekima hizo baba.Umeonesha upendo kwetu.
Huyu baba Mungu ampe maisha marefu, kaanza kuwapatia ajira madaktari wetu, isingekuwa yeye wangekuwa bado wanasokta mtaani, sasa katupa pole na kule bukoba alituma mashuka na mablanket, napendekeza apewe uraia wa jiji la Dar.
 
Huyu ni mhuni fulani tu aliyeingia ikulu kwa njia za uvunjaji wa kanuni za kumpata mgombea urais kupitia chama chake cha ccm, pia akahitimisha kwenda ikulu kwa njia za wizi na udanganyifu kupitia jeshi la Polisi na Lubuva. .... Ni upumbavu uliovuka mipaka kumsingizia Mungu eti ni chaguo lake!
hakuna Rais smart na understanding Kama Uhuru Kenyatta, Nampenda Sana Kenyatta, I wish I were a Kenyan
 
Back
Top Bottom