ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Mnisamee bure ....yule baba kwa matukio waliyopigwa mwaka 1994'Genocide....makaburi ya halaiki....hili la kwetu nadhani anaona tone dogo....Wadau vipi kwa swaiba wetu no 1 kwa sasa Rwanda,Hajasema chochote kuhusiana na Tukio hili??