Hongera Mh.Uhuru Kenyata watanzania tumekusikia,tumekuelewa tupo nawe.

Hongera Mh.Uhuru Kenyata watanzania tumekusikia,tumekuelewa tupo nawe.

Kawambie kuwa mwenyewe yupo anapambana na Herode kwa amri ya Cesar Agusto kuhusu orodha iandikwe. Kwahiyo Yusuf na Mariam wamekimbilia Monduli ili hiyo shughuli ikisha warudi DSM kuchukua jengo Jeupe la Mjerumani lililojengwa na Von Schee akitokea Tabora enzi za Dutch Ousta Africa company 1884 - 1919.

Enyi wana wa Nyoka.
Maandiko yapo ukutani na mwenye macho ayasome.
 
Na sio kwamba hajui kuwa kuna vikao vya siri baina ya odinga na dereva wa lori,
Uhuru ni rais muungwana haonyeshi visasi.
Uhuru ni mtoto wa mjini sio kama wengine wamechunga ng'ombe wee wamekuja mjini kusoma chuo kikuu...full visasi wivu na husda...
 
Ajabu wa kwetu badala ya pole kala rambirambi na matusi juu kwa ndugu zetu wa bukoba eti serikali haikuleta tetemeko kila mtu atajiju..... jamani hv kweli huyu ndiye aliyetabiriwa ama tungoje mwingine?.Naona viwete hawaponi,wenye ukoma hatutakasiki wala viziwi hawasikii msaada jamani kabla sijapeleka ripoti kwa yohana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87] [emoji87] [emoji134] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Kuna clip kama mbili za UK nimeziona moja akiwaasa wakenya kutopigana kisa wanasiasa na akawaambia yeye na wapinzani wake wanakunywa chai pamoja na clip nyingine ni hili suala la wadogo zetu sasa nimeanza kumkubali UK mwanzo nilikuwa simkubali nahisi nilimezeshwa matango pori kipindi cha kesi yake...
 
Wakenya kupitia raisi wao ametumia muda wa sekunde kadhaa kuwasimamisha wakenya kwa shughuli zote ili kuungana nasi ktk msiba wa watoto wetu huko arusha.
Mungu akuzidishie hekima hizo baba.Umeonesha upendo kwetu.
Ukiwafatilia kwa ukaribu marais wa East afrika utagindua kuwa Uhuru Kenyata ana busara kuliko marais wenzake wote ndani ya jumuiya ya EAC japokuwa ye ndo mdogo kiumri ukimwondoa Nkurunzinza.
 
Nina mwa admire sana Kenyata. Jamaa anakosolewa sana na watu wske lakini bado yuko peace sana

Wakenya wasipomchagua UK watajuta. Pata picha Marais wa EAC wake PK, Nkurunzinza, Museven, Odinga na Dereva wa Lori, wakikutana watashauriana nini? Hapo ukizingatia dereva Lori na OD maswahiba.
Watajutaaa, watuulize sisi.
 
Kuna clip kama mbili za UK nimeziona moja akiwaasa wakenya kutopigana kisa wanasiasa na akawaambia yeye na wapinzani wake wanakunywa chai pamoja na clip nyingine ni hili suala la wadogo zetu sasa nimeanza kumkubali UK mwanzo nilikuwa simkubali nahisi nilimezeshwa matango pori kipindi cha kesi yake...
Mkuu, wachunguze sana watu waliokulia Ikulu au katika uongozi. Wana exceptions fulani hivi ambazo zinawatofautisha na wengine.
 
Na sio kwamba hajui kuwa kuna vikao vya siri baina ya odinga na dereva wa lori,
Uhuru ni rais muungwana haonyeshi visasi.

Naamini hakuna vikao kama unavyotaka tuamini. Lakini pia hata kama kungekuwa na vikao, bado nisingetegenea kulisema kwa manufaa ya mahusiano yetu na Kenya, na hata kwa wakenya wenyewe.
 
Uhuru Kenyatta ni akili kubwa, tatizo lenu mnamlinganisha na sizonje akili ndogo

Vizuri kuwa na akili kubwa, lakini kama akili hiyo iliweza kuwa sababu ya vifo vya wakenya, inakuwa haina maana hata kidogo.
 
Back
Top Bottom