Hongera Mh.Uhuru Kenyata watanzania tumekusikia,tumekuelewa tupo nawe.

Hongera Mh.Uhuru Kenyata watanzania tumekusikia,tumekuelewa tupo nawe.

Halafu Edo mjanja sana ,alijua pilato wetu atatafuta kiki kwa uhuru ajioneshe kwake akawahi kutangaza wazi kuwa anamuunga mkono uk,sasa pilato akimuunga mkono odinga ni sawa na kuwaunga mkono wapinzani wa tz na uhuru akipita akawa raisi tena itakuwa aibu wakikutana kwenye saccoss yao ya mashariki.
Nimeipenda bure viva kenyata viva.
 
Ajabu wa kwetu badala ya pole kala rambirambi na matusi juu kwa ndugu zetu wa bukoba eti serikali haikuleta tetemeko kila mtu atajiju..... jamani hv kweli huyu ndiye aliyetabiriwa ama tungoje mwingine?.Naona viwete hawaponi,wenye ukoma hatutakasiki wala viziwi hawasikii msaada jamani kabla sijapeleka ripoti kwa yohana.
Mpelekee Ujumbe yohana! Mwambie huyu siye huko aliko aendelee kuianda njia ya bwana na kama jangwa hilo alipo ameshalimaliza mwambie ahamie jangwa jingine na aendelee hatuna namna.
 
Mpelekee Ujumbe yohana! Mwambie huyu siye huko aliko aendelee kuianda njia ya bwana na kama jangwa hilo alipo ameshalimaliza mwambie ahamie jangwa jingine na aendelee hatuna namna.
Nimeipenda bure mkuu kumbe waseminari tuko wengi.Hongera kwa kunielewa maana wengine wamebaki njia panda hapo kwa yohana.
 
Ajabu wa kwetu badala ya pole kala rambirambi na matusi juu kwa ndugu zetu wa bukoba eti serikali haikuleta tetemeko kila mtu atajiju..... jamani hv kweli huyu ndiye aliyetabiriwa ama tungoje mwingine?.Naona viwete hawaponi,wenye ukoma hatutakasiki wala viziwi hawasikii msaada jamani kabla sijapeleka ripoti kwa yohana.
Huoni mafisadi WAMENYAMAZISHWA
 
Mods naona mnakula weekend watu watiririka tu humu.
 
Ajabu wa kwetu badala ya pole kala rambirambi na matusi juu kwa ndugu zetu wa bukoba eti serikali haikuleta tetemeko kila mtu atajiju..... jamani hv kweli huyu ndiye aliyetabiriwa ama tungoje mwingine?.Naona viwete hawaponi,wenye ukoma hatutakasiki wala viziwi hawasikii msaada jamani kabla sijapeleka ripoti kwa yohana.
Daaah aisee. Na sidhan km kuna tamko lolote lililotok kwa Rais wet kufuatia Msiba huo mkubwa.
 
Huoni mafisadi WAMENYAMAZISHWA
Wangenyamazishwa leo ungekuwa unakula mlo mmoja wa shida na kushindia mhogo kwa pilipili?.
Huyu tuliye naye anaamini kila tatizo ni msumari kwa kuwa mkononi ameshika nyundo.
Ukweli bado suruali ya jk imempwaya.
 
Back
Top Bottom