Huyu ni mhuni fulani tu aliyeingia ikulu kwa njia za uvunjaji wa kanuni za kumpata mgombea urais kupitia chama chake cha ccm, pia akahitimisha kwenda ikulu kwa njia za wizi na udanganyifu kupitia jeshi la Polisi na Lubuva. .... Ni upumbavu uliovuka mipaka kumsingizia Mungu eti ni chaguo lake!