utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,849
- 2,508
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Mtaka alitakiwa awe na cheo kikubwa sana either Waziri mkuu au waziri tamisemi
Jamaa kichwani yupo vizuri sana halafu hana mihemuko kufanya maamuzi ana utulivu jamaa ukienda ofisini kwake anatoa ushirikiano wa hali ya juu sana
Kama ningekuwa mimi Ndiye rais alitakiwa kuteuliwa mapema kuwa mbunge then Waziri tamisemi Jamaa namkubali sana
Kama nchi inataka watu wa kusadia nchi basi ni kutafuta vijana aina ya Mtaka.
Na idara ya usalama wa Taifa kuwalinda juu ya kuchafuka.
Hawa ndio type ya viongozi taifa sasa linawahitaji.