Duh nilikua najiuliza kama barabarani wamepungua hivi watakua wamepunguzwa na kwenye kikosi cha trafiki au wametawanywa kwingine.Kuna lidada fulani lilikuwa litrafiki limeanza kusali na kusali.
Hata likiwa linaumwa linaenda kukaa huko ili lipate mgao.
Lilishusha tofali elfu 5 za bloko siku moja, likanyanyua uzio kwenye bonge la kiwanja na likafuatia hekalu humo ndani kama ikulu ndogo.
Amemalza tu boma kanali kinana akatamka, na lenyewe linashnda tu kaunta.
Halimalz hlo geto hadi mafao
Yohana na wewe umestukia hii chai ya tangawizi mbichi?Umedrive kutoka Unyamwezini, Kenya hadi Arusha, pole kwa safari ndefu
Hakuna sehemu ameandika hivyo mzee soma kwa umakini..Umedrive kutoka Unyamwezini, Kenya hadi Arusha, pole kwa safari ndefu
Hizi ajali unaziona lakini?Hilo kundi la wanyang'anyi bora limedhib