Hongera na pole Balozi Siwa. Je, utaiweza TISS au TISS itakuweza?

Je Unafikiri uteuzi DG MPYA TISS kila wakati una maslahi kwa USALAMA wa TAIFA?

  • Ndio

    Votes: 46 22.1%
  • Hapana

    Votes: 162 77.9%

  • Total voters
    208
Presidential decree....

Mama anafanya vile anavyoona inapaswa....

Mama ana "sources" nyingi za info zaidi ya hao anaowateua.....

Kubwa zaidi ni usalama wa rais wetu kipenzi na kubwa zaidi ni muendelezo wa utulivu wa taifa hili bora barani afrika [emoji120]

#Mwenyezi Mungu umlinde Rais wetu kipenzi SSH ,amen [emoji120]

#SiempreJMT amen[emoji120]
 

Ukiona nchi ni Maskini jua "wavaa miwani myeusi" hawana uwezo!
 
Mimi sijui lolote kuhusu masuala ya TISS, lakini simple reasoning, kama taasisi za umma zimejaa uzembe, fitina, majungu, kukosa umakini kutokana na RUSHWA, USWAHIBA, UPENDELEO NA UKADA, deductively hata TISS haina exception. So, nadhani tatizo ni mfumo uliooza uliojengeka kwa miaka mingi!
 
Hii idara imeharibia kipindi kundi la Wana mtandao walipoanza kuusaka urais 1995 Baada ya Kikwete kushindwa ndani ya CCM akapita MKAPA ,

Hapo ndipo Mkakati ukaanza kusukwa ili kuweza kumuingiza Msoga Ikulu na Moja ya Sehemu ambayo kutokana na Mkakati wao ili waingie Ikulu ni kuifanya TISS iwe yao na walifanikiwa maana waliweka watu wao wengi sana na wengine wakongwe kubadilishwa na PESA

Kwa hiyo ili Mama afanikiwe Ila kama ni kwa maslahi ya Taifa , hii idara ifumuliwe upya

Ila kama ni kwa maslahi ya wajomba zake (Waarabu) Niko begabega na TISS hii
 
Hawa uliowataja ni panya road wa mtandaoni. Hapa nimepata jambo moja. Loliondo tatizo lake ni Samia akiwakingia kifua wajomba zake.
Ujinga mweupe huo....

Umeamua kumchafua Rais kwa kuamini maneno ya watu ?!!! [emoji15][emoji15][emoji15]

Wa kizimkazi ,wa mwakakogwa-kuoga mwaka hawana mahusiano na WAARABU waliowaita babu zao WAHADIMU....

Unaujua uhadimu wewe?!!!

Makunduchi ndio "epicenter" ya WAZALENDO wa Zanzibar wanaoutukuza MUUNGANO na wasioutaka uvunjike....

Karibu wanzuki[emoji120]
 
Ko mkuu mtu kateuliwa, halafu hafanyi vizuri tumuache? Akizingua hata huyu atolewe tu, hakuna mtu mkubwa kuliko taifa kwamba una chance hata ukizingua tusikutoe kisa ni spy master
Kwanini ateuliwe mtu ambae hafanyi vizuri? Unahisi mtu anaefanya vizuri home works zake anaweza kumteua mtu ambae hafanyi vizuri?

Hizi nafasi ni nyeti Sana, tuache ushabiki wa 'anatoka dini gani au anatoka mkoa gani' tufuate kanuni na viwango vya Tiss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…