Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Atuzungumziii Ihefu tunaisemea mechi ya leoGoli la offside la nani?
Goli lenu la tano kwenye mechi ya Ihefu uliliona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atuzungumziii Ihefu tunaisemea mechi ya leoGoli la offside la nani?
Goli lenu la tano kwenye mechi ya Ihefu uliliona?
Kwanini mlimwacha aende huko kama angekuwa na msaada? Si aliwahi kuondoka kabla hamjamrudisha tena?Kisinda Yuko berkane alikoshindwa huyo kigulu asiyeweza kucheza ligi yoyote Bali ligi wanayocheza mashujaa
Na yeye amezungumzia mechi yenu na IhefuAtuzungumziii Ihefu tunaisemea mechi ya leoView attachment 2937651
Hoja ni Leo sio Ihefu sawa
Ila luis alitoka rank ndogo akaenda Al Ahly rank kubwa akashindwa, akarudi rank ndogo akashindwaBerkane ni ya ngapi kwenye ubora wa CAF?
Simba ni ya 5. Berkane ya ngapi?
Kivipi Club yenye rank ndogo iweze kuwa na mbinu za kumtumia mchezaji aliyetoka kwenye Club yenye rank kubwa?
Kwahiyo na wale mliowaacha nyie hawakuwa na msaada?Kwanini mlimwacha aende huko kama angekuwa na msaada? Si aliwahi kuondoka kabla hamjamrudisha tena?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Ameshindwa au hacheziIla luis alitoka rank ndogo akaenda Al Ahly rank kubwa akashindwa, akarudi rank ndogo akashindwa
Marejeo hayawekwi hivyoAtuzungumziii Ihefu tunaisemea mechi ya leoView attachment 2937651
Huwa mnasema ni makosa ya kibinadamu ikiwa kuna advantage kwenu,we hapo huoni ni makosa ya kinadamu leo?Hoja ni Leo sio Ihefu sawa
Yako wapi makosaHuwa mnasema ni makosa ya kibinadamu ikiwa kuna advantage kwenu,we hapo huoni ni makosa ya kinadamu leo?
Na wakati huo Chama ni wa 7 kwa wafungaji wa muda wote wa CAFIla luis alitoka rank ndogo akaenda Al Ahly rank kubwa akashindwa, akarudi rank ndogo akashindwa
Tajiri hawezi kuwa humu,ulianza wewe kumuingiza mama yanguWatu mafukara mnakuwaga na stress sana ndo maana kila sehemu ni matusi,achana na mpira tafuta hela ukipata huwezi kuwa na hasira
Mimi sina interest kwenye hii case siwezi kujisumbuaWewe si unayo yako si uweke
Mimi najua ni WA kwanza wewe wa tatuMimi sina interest kwenye hii case siwezi kujisumbua
Sisi tunachojua ni kwamba mmelambwa viwili basi.
Hayo mengine sijui refa kafanya hivi mara kibendera kafanya vile ni kutafuta sababu tu kwasababu matukio kama hayo yametokea upande wenu juzi hapo na pengine hata kulisemea hilo hukuthubutu
Yanga imefungwa na wewe JF umefungwaTajiri hawezi kuwa humu,ulianza wewe kumuingiza mama yangu
We endelea kujua hivyo hivyo sisi tunakuhesabia tuMimi najua ni WA kwanza wewe wa tatuView attachment 2937670
Sawa we endelea kuwa wa 3 tu kaka na mwaka huu kombe hampatiWe endelea kujua hivyo hivyo sisi tunakuhesabia tu
Mi siwezi kuahidi chochote ila huko mbeleni tutajua tu.Sawa we endelea kuwa wa 3 tu kaka na mwaka huu kombe hampati
Kala banYanga imefungwa na wewe JF umefungwa
Baada ya wachezaji wenu kushindwa kutumia miguu ipasavyo ili kuwaletea furaha mnakuja JF kutumia midomo bila tahadhari kufosi furaha.
Mwisho mnajikuta mmefungwa nje ndani.
Muwe mnaangalia na timu za kushabikia