Hongera Pacome Zuzu kwa kujivunja mapema leo vs Azam

Hongera Pacome Zuzu kwa kujivunja mapema leo vs Azam

Anataka kuwa warrior kwa mdomo baada ya kuona wachezaji wake wameshindwa kuwa warrior kupitia miguu yao.

Ukifungwa tulia kuwa mpole

Huwezi ukafungwa na ukawa na power ya mdomo kutaka kuwazima wapinzani wako kwa kebehi

Ni lazima tu utajikuta umetukana.

Hao si walitufunga sie 5, sasa unafikiri kwa leo hizo 5 zitasaidia chochote kupunguza makali ya sisi kuongea?

Anatakiwa ajifunze ku handle emotions
 
Anataka kuwa warrior kwa mdomo baada ya kuona wachezaji wake wameshindwa kuwa warrior kupitia miguu yao.

Ukifungwa tulia kuwa mpole

Huwezi ukafungwa na ukawa na power ya mdomo kutaka kuwazima wapinzani wako kwa kebehi

Ni lazima tu utajikuta umetukana.

Hao si walitufunga sie 5, sasa unafikiri kwa leo hizo 5 zitasaidia chochote kupunguza makali ya sisi kuongea?

Anatakiwa ajifunze ku handle emotions
Ila mods hichagua wa kupiga ban...mi sijaona kosa lake, nimeipitia replies zake
 
Tatizo anataka kwenda na flows za mahabiki wanomfananisha na mchezaji ambaye sio level yake

Anacheza performance ya mchezaji mwingine.

Ndio maana unaona unnecessary injuries kama hizi.

Angekuwa anajichezea kwa mfumo wake aliozaliwa nao bila kutaka kuwa kama mchezaji mwingine hayo yote yasingemkuta.
Kujifananisha na nani sasa? Kama jina la Zizou alipewa Ivory Cost huko alipochukua MVP wa ligi yao sio bongo.
 
Maana yake Kuna watu wanafungiwa hata kwa lisilo kosa na wengine wanatukana na hawafungiwi,so simply ni ubaguzi
Nyingine hii hapa jamaa mpaka sasa kaachwa tu Cc Active Cookie Moderator
Screenshot_20240318-004832.jpg
 
Maana yake Kuna watu wanafungiwa hata kwa lisilo kosa na wengine wanatukana na hawafungiwi,so simply ni ubaguzi
Hilo linawezekana kuwepo sikatai

Ila kwa situation ya jamaa yako kupigwa ban nakataa kuwa ameonewa.

Nimeona umesema umefuatilia post zake hujaona tusi, lakini kama ni kweli basi hujafutilia vizuri au lah una bias zako.

Huyo jamaa amenifananisha na dada katika moment ambayo sijam crush kwa tusi lolote na mimi siku react nikachukulia normal kwasababu hizo ndio kauli ambazo naishi nazo mtaani
 
Hilo linawezekana kuwepo sikatai

Ila kwa situation ya jamaa yako kupigwa ban nakataa kuwa ameonewa.

Nimeona umesema umefuatilia post zake hujaona tusi, lakini kama ni kweli basi hujafutilia vizuri au lah una bias zako.

Huyo jamaa amenifananisha na dada katika moment ambayo sijam crush kwa tusi lolote na mimi siku react nikachukulia normal kwasababu hizo ndio kauli ambazo naishi nazo mtaani
Sasa kukufananisha na dada ndo apigwe ban!?..ulishawahi nadi jinsia yako humu mkuu?
 
Back
Top Bottom