Anataka kuwa warrior kwa mdomo baada ya kuona wachezaji wake wameshindwa kuwa warrior kupitia miguu yao.Kala ban
AlafuNa wakati huo Chama ni wa 7 kwa wafungaji wa muda wote wa CAF
Duh inasikitisha sana jamaa Toka mda ule katutukana sisi mashabiki wa Yanga nimeenda kule kwenye Uzi wa malalamiko nimeweka malalamiko Uzi umefutwaNdivyo walivyo,Wana watu wao
Ila mods hichagua wa kupiga ban...mi sijaona kosa lake, nimeipitia replies zakeAnataka kuwa warrior kwa mdomo baada ya kuona wachezaji wake wameshindwa kuwa warrior kupitia miguu yao.
Ukifungwa tulia kuwa mpole
Huwezi ukafungwa na ukawa na power ya mdomo kutaka kuwazima wapinzani wako kwa kebehi
Ni lazima tu utajikuta umetukana.
Hao si walitufunga sie 5, sasa unafikiri kwa leo hizo 5 zitasaidia chochote kupunguza makali ya sisi kuongea?
Anatakiwa ajifunze ku handle emotions
Kampuni ya mabati hiyoAlafu
Ila hajapigwa ban?Duh inasikitisha sana jamaa Toka mda ule katutukana sisi mashabiki wa Yanga nimeenda kule kwenye Uzi wa malalamiko nimeweka malalamiko Uzi umefutwa
Mbona wewe hujaoigwa?Ila mods hichagua wa kupiga ban...mi sijaona kosa lake, nimeipitia replies zake
Kujifananisha na nani sasa? Kama jina la Zizou alipewa Ivory Cost huko alipochukua MVP wa ligi yao sio bongo.Tatizo anataka kwenda na flows za mahabiki wanomfananisha na mchezaji ambaye sio level yake
Anacheza performance ya mchezaji mwingine.
Ndio maana unaona unnecessary injuries kama hizi.
Angekuwa anajichezea kwa mfumo wake aliozaliwa nao bila kutaka kuwa kama mchezaji mwingine hayo yote yasingemkuta.
Ndiyo, alafuKampuni ya mabati hiyo
Okwi boban sunzu katukana live,hajapigwa ban bali Uzi umefutwa,huyo mwamba sijaona kosa lakeMbona wewe hujaoigwa?
Ndio kaachwa tu aisee na kavunja Sheria ya jukwaa katukanaIla hajapigwa ban?
Jukwaa la watu,watu si waadilifu,ni maumbile yaoNdio kaachwa tu aisee na kavunja Sheria ya jukwaa katukana
Inasikitisha sanaJukwaa la watu,watu si waadilifu,ni maumbile yao
Emvipi ndio nini Sheikh? Mbona unapagawishwa na vitu simple sanaKujifananisha na nani sasa? Kama jina la Zizou alipewa Ivory Cost huko alipochukua MVP wa ligi yao sio bongo.
Hujajibu swaliOkwi boban sunzu katukana live,hajapigwa ban bali Uzi umefutwa,huyo mwamba sijaona kosa lake
Maana yake Kuna watu wanafungiwa hata kwa lisilo kosa na wengine wanatukana na hawafungiwi,so simply ni ubaguziHujajibu swali
Wewe mbona hujafungiwa?
Hilo linawezekana kuwepo sikataiMaana yake Kuna watu wanafungiwa hata kwa lisilo kosa na wengine wanatukana na hawafungiwi,so simply ni ubaguzi
Sasa kukufananisha na dada ndo apigwe ban!?..ulishawahi nadi jinsia yako humu mkuu?Hilo linawezekana kuwepo sikatai
Ila kwa situation ya jamaa yako kupigwa ban nakataa kuwa ameonewa.
Nimeona umesema umefuatilia post zake hujaona tusi, lakini kama ni kweli basi hujafutilia vizuri au lah una bias zako.
Huyo jamaa amenifananisha na dada katika moment ambayo sijam crush kwa tusi lolote na mimi siku react nikachukulia normal kwasababu hizo ndio kauli ambazo naishi nazo mtaani
Muhimu Yanga inaongoza ligi na itachukuwa Kombe..Goli la offside la nani?
Goli lenu la tano kwenye mechi ya Ihefu uliliona?