Jombaa kosa langu ni lipi , Una stress za nini boss ? Kusema kuwa huyo jamaa skujua kama umri umesonga ndo unaniwakia hvyo ...we kima nini
Mwambieni asipotee humu awe anatna na ushauri wa kisheriaNaona leo Pacal Mayala ni miongoni mwa Mawakili waliopokelewa na kukubaliwa kuwa Mawakili, tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Karimjee huku Jaji Mkuu akiwa ndio Mgeni Rasmi.
Hongera sana Pascal, ila upunguze kuchomekea sifa zingine kama kuwa Mtangazaji wa kwanza kuwa wakili na badala yake acha watu wengine wakusifie(itapendeza zaidi).
Daaah...mimi ndo maana huwa sipendi kuwa na mademu humu na nikiwa naye watu hawez jua naficha hisia zangu.... mahusiano ya kimapenzi na watu wa JF yatakufanya ugombane na kila mtu. sometimes uwe unavumilia tu sister. jamaa mbona hajamsema kwa ubaya mtu wako?Mawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Safi sana mkuu kwa kushusha makavu live majitu mengine yana tabia za kike mno hapo muulize yeye mwenyw lini kamfahamu Mr Mayala?lengo amdhalilishe tu Kima huyuMawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Ili uwe Wakili lazima upitie school of law mwaka mmoja, hapo ndo unaweza pata certificate ya uwakiliKumbe alikuwa bado hajawa wakili kamili?
Ova
Hata kama mlizoea kufunga viroba watu na kuwatupia beach,haukupaswa kupanic Kwa alichouliza mwenzio.Easy mjomba,kala chumvi au mdogo bass....ungejibu tu ivoMawazo ya kimasikini, jealous, ukatili na ushenzi, typical mawazo ya watanzania walioko diaspora, Mr.Mayala anapewa uwakili ndio Habari hapa,tumpongeze na kumtia moyo, wewe shetani umeamua kuangalia in a negative side as if wewe ur growing young, halafu hamchelewi Kuja kulalamika humu kuhusu ajira wakati umejaa roho ya kutu.mtu kama wewe ndio maana mkijichanganya kidogo mnaelekezwa beach mkapate displine
Alianza degree ya sheria 2001 au 2002 na lipikipiki lake kubwa pale mabibo hostel,alivyodisco akukoma akakomaa tena.imemchukua miaka 20 kuwa wakili,kweli tusikate tamaa,Naona leo Pacal Mayala ni miongoni mwa Mawakili waliopokelewa na kukubaliwa kuwa Mawakili, tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Karimjee huku Jaji Mkuu akiwa ndio Mgeni Rasmi.
Hongera sana Pascal, ila upunguze kuchomekea sifa zingine kama kuwa Mtangazaji wa kwanza kuwa wakili na badala yake acha watu wengine wakusifie(itapendeza zaidi).
Daaah huyo jamaa nilikuwa sjui kama ni mhenga
Wakat Ile upi? Mi nimemuona juzi nKwamba ina maana hata wakati huo akionekana kwenye luninga hukuwa wamuona?
Yah,naelewa hiloIli uwe Wakili lazima upitie school of law mwaka mmoja, hapo ndo unaweza pata certificate ya uwakili
Ali graduate mwaka gani?Pasco is my classmate udsm way back 2007
hongera sana
2007Ali graduate mwaka gani?