Hongera R.C Makonda Arusha imesheherekea Mwaka mpya bila vurugu

Hongera R.C Makonda Arusha imesheherekea Mwaka mpya bila vurugu

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Mojawapo ya jukumu la Mkuu wa Mkoa ni kuhakikisha Amani na utulivu unatamalaki.
Mkoa wa Arusha uliwahi kusifika kwa uhalifu na hususani uhalifu nyakati za sikukuu na nyakati za usiku.

Kwa mara ya kwanza katika historia tumejionea Watu wenye haiba mchanganyiko,dini mbalimbali ,vipato tofauti,watoto,vijana na wazee wakisheherekea au wakiukaribisha mwaka katikati ya mji na kati kati ya cape town na cairo bila mtu kuumizwa.
Hii ni new era katika jiji la Arusha.

Jana nimeona machalii wa ngaleloo wakisherehekea mwaka na wahindi wa uzunguni bila shida yoyote.

Mungu akubariki R.C Paul C Makonda.


#KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Mojawapo ya jukumu la Mkuu wa Mkoa ni kuhakikisha Amani na utulivu unatamalaki.
Mkoa wa Arusha uliwahi kusifika kwa uhalifu na hususani uhalifu nyakati za sikukuu na nyakati za usiku.

Kwa mara ya kwanza katika historia tumejionea Watu wenye haiba mchanganyiko,dini mbalimbali ,vipato tofauti,watoto,vijana na wazee wakisheherekea au wakiukaribisha mwaka katikati ya mji na kati kati ya cape town na cairo bila mtu kuumizwa.
Hii ni new era katika jiji la Arusha.

Jana nimeona machalii wa ngaleloo wakisherehekea mwaka na wahindi wa uzunguni bila shida yoyote.

Mungu akubariki R.C Paul C Makonda.


#KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Mimi ni mkaazi wa Arusha ..nina miaka 50+..kwa ubunifu wa RC Makonda nachelea kusema..itakuwa taabu kubwa sana siku akihamishwa ..mzunguko wa fedha umekuwa mkubwa sana na watu tunaongea ' chapaa' kuliko Chadema vs CCM.
Chukua maua yako ukiwa hai!!
 
Mojawapo ya jukumu la Mkuu wa Mkoa ni kuhakikisha Amani na utulivu unatamalaki.
Mkoa wa Arusha uliwahi kusifika kwa uhalifu na hususani uhalifu nyakati za sikukuu na nyakati za usiku.

Kwa mara ya kwanza katika historia tumejionea Watu wenye haiba mchanganyiko,dini mbalimbali ,vipato tofauti,watoto,vijana na wazee wakisheherekea au wakiukaribisha mwaka katikati ya mji na kati kati ya cape town na cairo bila mtu kuumizwa.
Hii ni new era katika jiji la Arusha.

Jana nimeona machalii wa ngaleloo wakisherehekea mwaka na wahindi wa uzunguni bila shida yoyote.

Mungu akubariki R.C Paul C Makonda.


#KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Nimetafakari sana hii plan ya Makonda and i guess kama atadumu miaka miwili mitatu, huenda sherehe za kusherekea mkesha wa mwaka mpya kitaifa ikawa ni Arusha, kwa maana watu watakuwa wanakwenda Chuga just kwa celebration hiyo. Ni jambo ambalo limekuwa well Organized kama marekebisho no madogo ambayo can be rectified kwa urahisi sana! Hongera kwake!
 
Wameshaanza na tabiri zao kwamba ni. Jpm mpya eti!!na wewe unaamini hilo!!?mi namuombea tu hekima coz Huwa ana vibrate sana!
 
kwenye mkesha tukapigwa mabomu ya machozi
 
na watu tunaongea ' chapaa' kuliko Chadema vs CCM.
Kwani chadema bado ipi? Nasikia chadema imezimia, itazinduka 21 mwezi huu mbangaizaji atakapokuwa ameshindwa uenyekiti.
 
Wameshaanza na tabiri zao kwamba ni. Jpm mpya eti!!na wewe unaamini hilo!!?mi namuombea tu hekima coz Huwa ana vibrate sana!
Usiende huko rudi kwenye mada ...alichofanya ni kikubwa
 
Mojawapo ya jukumu la Mkuu wa Mkoa ni kuhakikisha Amani na utulivu unatamalaki.
Mkoa wa Arusha uliwahi kusifika kwa uhalifu na hususani uhalifu nyakati za sikukuu na nyakati za usiku.

Kwa mara ya kwanza katika historia tumejionea Watu wenye haiba mchanganyiko,dini mbalimbali ,vipato tofauti,watoto,vijana na wazee wakisheherekea au wakiukaribisha mwaka katikati ya mji na kati kati ya cape town na cairo bila mtu kuumizwa.
Hii ni new era katika jiji la Arusha.

Jana nimeona machalii wa ngaleloo wakisherehekea mwaka na wahindi wa uzunguni bila shida yoyote.

Mungu akubariki R.C Paul C Makonda.


#KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kwa hiyo kwingine wamesherehea kwa vurugu?
 
Back
Top Bottom