Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zebra walikuwepo pia ?Mkuu ukweli kama umekulia Dar au umeishi miaka mingi utajua Ikulu kuna wanyama miaka mingi kabla ya magufuli kuwa raisi au pengine kabla ya kuwa Mbunge.
Sema raisi waliomtangulia hatukuwaona wakiwa ktk picha wanahudumia wanyama au wana watazama kama kujifurahisha wakiwa pale Ikulu.
Ndio ila walikuwa wanyama wachache hasa hao zebra.Zebra walikuwepo pia ?
Wakiteuliwa wote sasa nani atabaki huku mitandaoni kusifia? Wengine lazima wabaki huku kupiga debe labda waandaliwe kitu kidogo hivi.Wewe na Pasco wote wasaka uteuzi msigombane. Bado tunawafatilia muda ukifika tutawateua tu. Endeleeni kusifu na kuabudu humu mitandaoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka Rais wetu aharibu pesa kwa kwenda kuangalia ikulu za watu tu?Ni muhimu sana rais Magufuli afanye safari muhimu za nje ili kupata exposure, akaone Ikulu ya South inavyofurika, pia aende Ikulu ya White House tena akiandamana na Makonda ili kumkomoa beberu Pompeo!, akaone jinsi wageni wanavyo jivinjari kwenye Ikulu ya White houseya Marekani. Hao wanyama na all the beauty ni bure kama watu hawatembelea na kuchangia upkeep cost.
Hakika umesema vema, yaani ukiwa na kundi la watu wa aina ya pascal kutegemea mabadiliko ni ndoto, sasa naelewa kwanini kwenye orodha ya wapigania Uhuru kwanini hakuna wasukumaIla tushukuru sana Mungu watu kama nyie hamkuwepo kipindi Mwalimu Nyerere anapambania uhuru wetu, yani tungechelewa SANA kupata uhuru kwa hizi tabia za uchumia tumbo, [emoji114][emoji1751]
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti aende Marekani na Bashite!!!!! Hivi anajua kuwa Ben Saanane alikuwa na mke pia alikuwa na wazazi?