Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike

Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike

Pamoja na kupendezesha Ikulu kwa wanyama pori lakini kuna mambo mengine ya kuangaliwa mfano wanyama hawa wanatoa uchafu kwa maana nyingine wanakunya hovyo sasa kwa Ikulu tunavyofahamu ni mahala panapotakiwa kuwa na usafi wa hali ya juu, Je hili suala litasimamiwa vipi?

Pili wanyama hawa wanahitaji majani mengi sana kwa ajili ya chakula chao nina wasiwasi na majani yaliyopo ndani ya Ikulu kama yatatosha.

Nimewaona wanyama wengi pale Ikulu kama pundamilia, swala, ngedere nk. Kwa ushauri wangu kuwa angalau tungekuwa na wanyama wachache angalau hata watano ili kuwaonyesha watu kuwa Tanzania tuna fursa ya utalii kuliko kuweka wanyama wengi pale Ikulu na matokeo ni kuharibu mazingira.
 
Orodha ya Maraisi wa JMTZ kwa ubora;

1.Mzee Mwinyi
1.Raisi Magufuli
2.Mwalimu Nyerere
3.Mzee Kikwete
4.Mzee Mkapa ( Mkapa ameshuka kuwa wa mwisho sababu ya ubinafsishwaji wa mashirika yetu, kuuza nyumba zetu, Mikataba mibovu ya Madini, Mke wake ktk KLM, mauaji ya Mwembechai na Pemba, ... vinginevyo angeweza kupanda)
Nyerere hawezi kulinganishwa na Rais yoyote, ni sawasawa na kumlinganisha baba yako mzazi na baba mwingine na kuanza kumsifia kuwa yeye ni bora zaidi. Na ndo maana kila kiongozi anafanya reference kwa Nyerere maana yeye ndio Benchmark
 
Mbona Magufuli ndio kinara wa kuuza nyumba za umma?
Orodha ya Maraisi wa JMTZ kwa ubora;

1.Mzee Mwinyi
1.Raisi Magufuli
2.Mwalimu Nyerere
3.Mzee Kikwete
4.Mzee Mkapa ( Mkapa ameshuka kuwa wa mwisho sababu ya ubinafsishwaji wa mashirika yetu, kuuza nyumba zetu, Mikataba mibovu ya Madini, Mke wake ktk KLM, mauaji ya Mwembechai na Pemba, ... vinginevyo angeweza kupanda)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea.

Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli

Kiukweli hadi raha! Mimi napendekeza Rais Magufuli akae Ikulu hadi pale Mungu atakapoamua!

Sasa tuifanye Ikulu yetu kuwa kivutio cha utalii, vile vizuizi viondolewe, waweke nominal fee watalii hadi wa ndani tutafurika.

Ni muhimu sana rais Magufuli afanye safari muhimu za nje ili kupata exposure, akaone Ikulu ya South inavyofurika, pia aende Ikulu ya White House tena akiandamana na Makonda ili kumkomoa beberu Pompeo!, akaone jinsi wageni wanavyo jivinjari kwenye Ikulu ya White houseya Marekani. Hao wanyama na all the beauty ni bure kama watu hawatembelea na kuchangia upkeep cost.

Na kama hoja ya restrictions ni usalama wa rais, maana naona ulizi wake unakaribia wa Mu7, then Ikulu Zoo iwe open to public zile siku rais yuko Dodoma ambapo pia I hope kutakuwa na Chamwino Zoo. Kiukweli ita-make hata kuliko Chato!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.

P
Ikulu inahamia dodoma, why hawajapelekwa Dodoma ili wazoee mazingira?
 
Wanabodi,

Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea.

Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli

Kiukweli hadi raha! Mimi napendekeza Rais Magufuli akae Ikulu hadi pale Mungu atakapoamua!

Sasa tuifanye Ikulu yetu kuwa kivutio cha utalii, vile vizuizi viondolewe, waweke nominal fee watalii hadi wa ndani tutafurika.

Ni muhimu sana rais Magufuli afanye safari muhimu za nje ili kupata exposure, akaone Ikulu ya South inavyofurika, pia aende Ikulu ya White House tena akiandamana na Makonda ili kumkomoa beberu Pompeo!, akaone jinsi wageni wanavyo jivinjari kwenye Ikulu ya White houseya Marekani. Hao wanyama na all the beauty ni bure kama watu hawatembelea na kuchangia upkeep cost.

Na kama hoja ya restrictions ni usalama wa rais, maana naona ulizi wake unakaribia wa Mu7, then Ikulu Zoo iwe open to public zile siku rais yuko Dodoma ambapo pia I hope kutakuwa na Chamwino Zoo. Kiukweli ita-make hata kuliko Chato!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.

P
Pasiko, umeandika vizuri sana na sifa stahili ila tu hapo kwenye kusafiri kwenda nje ndipo umeharibu kila kitu, akajifunze nini kwa mabeberu kwanini wao wasije huku kujifunza ukizingatia hawana wanyama.
 
Wanabodi,

Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea.

Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli

Kiukweli hadi raha! Mimi napendekeza Rais Magufuli akae Ikulu hadi pale Mungu atakapoamua!

Sasa tuifanye Ikulu yetu kuwa kivutio cha utalii, vile vizuizi viondolewe, waweke nominal fee watalii hadi wa ndani tutafurika.

Ni muhimu sana rais Magufuli afanye safari muhimu za nje ili kupata exposure, akaone Ikulu ya South inavyofurika, pia aende Ikulu ya White House tena akiandamana na Makonda ili kumkomoa beberu Pompeo!, akaone jinsi wageni wanavyo jivinjari kwenye Ikulu ya White houseya Marekani. Hao wanyama na all the beauty ni bure kama watu hawatembelea na kuchangia upkeep cost.

Na kama hoja ya restrictions ni usalama wa rais, maana naona ulizi wake unakaribia wa Mu7, then Ikulu Zoo iwe open to public zile siku rais yuko Dodoma ambapo pia I hope kutakuwa na Chamwino Zoo. Kiukweli ita-make hata kuliko Chato!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.

P

!
Hivi pale nii Dodoma au Dar! Samahani lakini
 
Orodha ya Maraisi wa JMTZ kwa ubora;

1.Mzee Mwinyi
1.Raisi Magufuli
2.Mwalimu Nyerere
3.Mzee Kikwete
4.Mzee Mkapa ( Mkapa ameshuka kuwa wa mwisho sababu ya ubinafsishwaji wa mashirika yetu, kuuza nyumba zetu, Mikataba mibovu ya Madini, Mke wake ktk KLM, mauaji ya Mwembechai na Pemba, ... vinginevyo angeweza kupanda)
Mfute kabisa huyo namba moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mawazo mazuri, ila sioni kama kuna haja ya yeye kwenda huko ulaya physically kuona mambo yakoje, siku hizi technology iko juu sana, kwa nafasi yake kama raisi sidhani kama anashindwa kuona live videos zinazoonyesha ikulu ya SA au USA akiwa nyumbani kwake kinyume na kuwa akienda itagharimu pesa nyingi, na afterall kama ni swala la exposure anayo kubwa kiasi cha kutosha sana, tukumbuke kabla ya kuwa raisi ameshakuwa waziri kwa muda mrefu sana na ukumbuke kipindi chao cha uwaziri kwenda ulaya ilikuwa ni kama kumsukuma mlevi, kwahiyo cha muhimu ni kuzidi tu kumuombea heri raisi wetu ili nchi izidi kusonga mbele na mikakati yake ya kuipaisha nchi yetu...
 
Brother kaa nyumbani cheza na wajukuu kama mjini mishe zimekuwa ngumu maana sasa hivi unandika madudu tupu unajishushia heshima yako, tulikutetea sana kipindi wanakutuhumu umemuza kabendela tulibisha humu mapovu yakatutoka lakini kwa rangi unayotuonyesha sasa ni wazi kabisa sasa unaukasuku

Hatukatai kumsifia mh rais wetu kwa mambo mazuri tunachokataa ni huu ujinga ulioandika huu hapa

(Kiukweli hadi raha! Mimi napendekeza Rais Magufuli akae Ikulu hadi pale Mungu atakapoamua!)

Takataka gani umeandika hapo tena mtu mwenye taaluma ya sheria unaijua katiba vizuri, kiumri unajua mengi umeona mengi sasa umeanza andika utoto kwa uandishi huu tegemea kuikimbia JF maana member wakikuchoka humu utashangaa kila andiko wana wewe mwisho wa siku utaishia kusoma tu yaliyoandikwa na kuichukia JF kama kina musiba na wengineyo
Inahitaji "AKILI KUBWA" kuelewa post za Mayala. Msome vizuri na ujipe muda wa kutafakari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Leo kuna video clip ya Ikulu yetu ya Magogoni imepandisha humu, kiukweli nimekuwa very impressed na ile zoo ya Ikulu na jinsi wanyama walivyopendezea.

Kwenye mazuri wajameni tupongeze: Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli

Kiukweli hadi raha! Mimi napendekeza Rais Magufuli akae Ikulu hadi pale Mungu atakapoamua!

Sasa tuifanye Ikulu yetu kuwa kivutio cha utalii, vile vizuizi viondolewe, waweke nominal fee watalii hadi wa ndani tutafurika.

Ni muhimu sana rais Magufuli afanye safari muhimu za nje ili kupata exposure, akaone Ikulu ya South inavyofurika, pia aende Ikulu ya White House tena akiandamana na Makonda ili kumkomoa beberu Pompeo!, akaone jinsi wageni wanavyo jivinjari kwenye Ikulu ya White houseya Marekani. Hao wanyama na all the beauty ni bure kama watu hawatembelea na kuchangia upkeep cost.

Na kama hoja ya restrictions ni usalama wa rais, maana naona ulizi wake unakaribia wa Mu7, then Ikulu Zoo iwe open to public zile siku rais yuko Dodoma ambapo pia I hope kutakuwa na Chamwino Zoo. Kiukweli ita-make hata kuliko Chato!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuendelea kumuishi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere kwa maneno na matendo, pia tunakuombea utawale kwa muda kama wa Nyerere au kwa kukaribiana tu japo vipindi viwili vya miaka 10/10.

P

Pongezi kwa mweshimiwa kwakuipendezesha ikulu kwa zoo..lakn pendekezo la yeye kutawala mpaka mungu atakapo amua..nipo kuenda kinyume kabisa na katiba raisi ana ukomo wa madaraka..hata awe mzuri namna gani lazima katiba iheshimiwe...kipindi cha JK watu walilia aendelee lakn katiba ilieshiwa...na ndo maana kwenye viapo vya kuhudumia uma lazima wahusika waape kuitunza na kuilinda katiba yetu and not otherwise..

Kuhusu DSM RC kwenda US...labda abebwe kama kwenye mikoba kama docs...personaly hawezi kuingia..na kama wakienda nae kilazima au kwa kificho our relatioship with US will be over...

Tupunguze sifa za kijinga...am out..
 
Nimepitia comments nyingi nikagundua wengi humu JF hawajawahi kumuelewa Mayala. Kuna haja ya kunoa bongo zenu na mrudi kupitia upya nyuzi zake.

Mayala ana akili kubwa kuliko wengi wenu, anang'ata mara tatu na kupuliza mara moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom