Hongera Rais Magufuli kwa kulitatua tatizo sugu la mgao wa umeme nchini

Kwani hoja ya msingi ni kujenga Power plants? Au hoja ni kudhibiti hujuma ambazo zilisababisha mafisadi wanufaike na mgao wa umeme? Au unauliza kama punguani anae tafuta kick.
Jibu maswali niliyokuuliza, kama huna jibu shut up!
 
Wapinzani wengi ni mashetani shetani, wengi hawana akili, kila kitu wanapinga, ila uzuri Mwenyezi Mungu anawatandika kwelikweli, wanaimbuka kwa kila jambo, 2020 ikifika wakati wa kampeni lazima wapigwe mawe na wananchi maana hawana jipya
 
Kwani hoja ya msingi ni kujenga Power plants? Au hoja ni kudhibiti hujuma ambazo zilisababisha mafisadi wanufaike na mgao wa umeme? Au unauliza kama punguani anae tafuta kick.
Hilo ndilo Jibu kwake Chige
List yote ya ulaji wa IPTL Mh Magufuli kaivuruga hakuna cha mgao na hakuna wa kutoka, mpaka wakapatane na DPP
 
Naona Jibu umeshalitoa kuwa wale waliotengeneza ulaji kupitia TANESCO wameshavurugwa misheni zao
sina haja ya kuizitaja kwani huo mpango si wa leo ulianza miaka mingi na kilio kilikuwa kwa Watanzania wote, nani atawagusa Richmond, IPTL, PAP, SonGAS nk
tunachozungumzia Mh Magufuli kaleta heshima kwenye umeme
hayo mambo mengine ya Lugola, sukari, samaki waliotupwa baharini, barabara Kimara ni mapungufu machache ambayo hayakuisa Nchi km Umeme
acha hao walioko ndani wasitoke km hawatawataja wenzao
 
Maghufuli alipoingia alitoa onyo kuhusu mgao wa umeme na ukaisha kabisa. Alipoingia tu mama mgao ukarudi. Kumbe mgao wa umeme ni maksudi. Ni hujuma Kwa wananchi. Kwann watu hawaoji kuwa Kwa maghufuli Mbona mgao haukwepo
 
Maghufuli alipoingia alitoa onyo kuhusu mgao wa umeme na ukaisha kabisa. Alipoingia tu mama mgao ukarudi. Kumbe mgao wa umeme ni maksudi. Ni hujuma Kwa wananchi. Kwann watu hawaoji kuwa Kwa maghufuli Mbona mgao haukwepo
kila zama na kitabu chake...
 
Si wanasema TANESCO walikuwa wanatumia mitambo bila kuifanyia sevisi ndio imekufa sasa matokeo yake tunahangaika na mgao😁
 
Serikali ya waoga hii.. uliona wapi waziri anasimama kwa niaba ya tanesco, pia ana lalamika kuibiwa bila kutoa suluhu
 
Si wanasema TANESCO walikuwa wanatumia mitambo bila kuifanyia sevisi ndio imekufa sasa matokeo yake tunahangaika na mgao😁
Kama mitambo iliheshimu kwa tamko la JPM na ikatii bila service basi iko na mapepo. Anahitajika mkemeaji kumbe. Au waliopo sio wa kiroho hawawezi kuikemea. Ova
 
Jinga Wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…