Hongera Rais Samia kilo 1 ya Korosho yafika shilingi 4120

Hongera Rais Samia kilo 1 ya Korosho yafika shilingi 4120

chala41

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
300
Reaction score
606
Kanda ya kusini kuchele Ndanda kuchele.
CCM kwani imekuwaje? Hela izunguke mikoa yote Madalali wa korosho waondoke.
Kusini tumeona

#MAMA SAMIA KAUPIGA MWINGI KAMA ALIVYOUPIGA UNCLE 2017/2018

kiufupi kila mkulima na kangomba afurahi.

Mnada wa kwanza 4,090 kwa newala na tandahimba

Hii bei ni kubwa sana kwa jinsi watu walivyokuwa wamekata tamaa hata YA kulima na kulizia lorosho zao.

Kumbe miaka ya nyuma mlikuwa mnatuhujumu kwa kiwango kikubwa namna hii .Mwaka jana minada ilifika hadi 1600 ila mwaka huu bei imepaa zaidi.

Kangomba tulio nunua chache kwa kuogopa bei itakuwa chini tumehuzunika sana.

Walio jilipua kwa 1500 wameona matunda yake..

Korosho ni dhahabu yakusini korosho inaweza kukutoa mchana kweupe korosho ni utajiri.

TUNAWASHUKURU CCM KWA KUWAONDOA MADALALI WENU WA KOROSHO.

Soma Pia: Rais Samia umetuteIekeza Wakulima wa Korosho?

======
Leo Oktoba 11, 2024, historia imeandikwa katika mikoa ya kusini baada ya kufanyika mnada wa kwanza wa korosho ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (TANECU).

Katika mnada huo, jumla ya tani 3,857 za korosho zimeuzwa kwa bei ya juu ya shilingi 4,120 kwa kilo, huku bei ya chini ikiwa shilingi 4,035. Haya ni mafanikio makubwa kwa wakulima wa korosho ambao wamekuwa wakisubiri kwa hamu bei nzuri ya zao hili muhimu.

Wakulima wa Tandahimba na Newala wameonyesha furaha kubwa kwa hatua hii, huku wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa jitihada zake katika kuhakikisha bei za korosho zinapanda na kuwa na tija kwa wakulima. Wamesema kuwa mnada huu wa kwanza umewapa matumaini makubwa kwamba kilimo chao sasa kinaleta faida zaidi, na maisha yao yataboreka kutokana na ongezeko hili la kipato.

Akizungumza mara baada ya mnada huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Newala, mmoja wa wakulima wa korosho,alisema:
"Tunamshukuru sana Rais Samia kwa juhudi zake za kuhakikisha tunapata bei nzuri kwa mazao yetu. Hii ni hatua kubwa kwa wakulima wa korosho, na tunaamini kwamba serikali itaendelea kutusaidia ili tuendelee kuuza kwa bei nzuri kama hii."

Aidha, wakulima hao wameiomba serikali kuendelea kusimamia bei hizi kwenye minada ijayo, huku wakionyesha imani kwamba chini ya uongozi wa Rais Samia, sekta ya kilimo cha korosho itaendelea kuimarika na kutoa tija kwa wananchi wa mikoa ya kusini.

Mnada huu umeleta nuru mpya kwa wakulima ambao wamekuwa wakitegemea korosho kama chanzo kikuu cha mapato. Serikali imeonyesha dhamira thabiti ya kuimarisha bei za mazao ya kilimo, na hatua ya leo ni ishara tosha kwamba wakulima wanapewa kipaumbele ili kuinua uchumi wa mikoa ya kusini.
 
Kanda ya kusini kuchele
Ndanda kuchele.
Ccm kwani imekuwaje?
Hela izunguke mikoa yote
Madalali wa korosho waondoke.
Kusini tumeona
#MAMA SAMIA KAUPIGA MWINGI KAMA ALIVYOUPIGA UNCLE 2017/2018#

kiufupi kila mkulima na kangomba afurahi.

Mnada wa kwanza 4,090 kwa newala na tandahimba

Hii bei ni kubwa sana kwa jinsi watu walivyokuwa wamekata tamaa hata YA kulima na kulizia lorosho zao.

Kumbe miaka ya nyuma mlikuwa mnatuhujumu kwa kiwango kikubwa namna hii .Mwaka jana minada ilifika hadi 1600 ila mwaka huu bei imepaa zaidi.

Kangomba tulio nunua chache kwa kuogopa bei itakuwa chini tumehuzunika sana.

Walio jilipua kwa 1500 wameona matunda yake..

Korosho ni dhahabu yakusini korosho inaweza kukutoa mchana kweupe korosho ni utajiri.

TUNAWASHUKURU CCM KWA KUWAONDOA MADALALI WENU WA KOROSHO.
Huyo Samia ndio ananunua hizo korosho kwa mshahara wake?
 
Mnada wa kwanza wa korosho wapata mafanikio tandahimba na newala: wakulima wamshukuru Rais Samia

Leo Oktoba 11, 2024, historia imeandikwa katika mikoa ya kusini baada ya kufanyika mnada wa kwanza wa korosho ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (TANECU).

Katika mnada huo, jumla ya tani 3,857 za korosho zimeuzwa kwa bei ya juu ya shilingi 4,120 kwa kilo, huku bei ya chini ikiwa shilingi 4,035. Haya ni mafanikio makubwa kwa wakulima wa korosho ambao wamekuwa wakisubiri kwa hamu bei nzuri ya zao hili muhimu.

Wakulima wa Tandahimba na Newala wameonyesha furaha kubwa kwa hatua hii, huku wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa jitihada zake katika kuhakikisha bei za korosho zinapanda na kuwa na tija kwa wakulima. Wamesema kuwa mnada huu wa kwanza umewapa matumaini makubwa kwamba kilimo chao sasa kinaleta faida zaidi, na maisha yao yataboreka kutokana na ongezeko hili la kipato.

Akizungumza mara baada ya mnada huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Newala, mmoja wa wakulima wa korosho,alisema:
"Tunamshukuru sana Rais Samia kwa juhudi zake za kuhakikisha tunapata bei nzuri kwa mazao yetu. Hii ni hatua kubwa kwa wakulima wa korosho, na tunaamini kwamba serikali itaendelea kutusaidia ili tuendelee kuuza kwa bei nzuri kama hii."

Aidha, wakulima hao wameiomba serikali kuendelea kusimamia bei hizi kwenye minada ijayo, huku wakionyesha imani kwamba chini ya uongozi wa Rais Samia, sekta ya kilimo cha korosho itaendelea kuimarika na kutoa tija kwa wananchi wa mikoa ya kusini.

Mnada huu umeleta nuru mpya kwa wakulima ambao wamekuwa wakitegemea korosho kama chanzo kikuu cha mapato. Serikali imeonyesha dhamira thabiti ya kuimarisha bei za mazao ya kilimo, na hatua ya leo ni ishara tosha kwamba wakulima wanapewa kipaumbele ili kuinua uchumi wa mikoa ya kusini.

Meneja wa TANECU, Mohamedi Nassoro Mwinguku aliipongeza serikali kwa ushirikiano wake na kuahidi kuendelea kushirikiana na serikali katika kuhakikisha kuwa wakulima wanafaidika na mazao yao.
"Huu ni mwanzo mzuri kwa msimu huu wa korosho, tunatarajia kuona mafanikio zaidi katika minada ijayo. Tunaendelea kuwahimiza wakulima wetu kuongeza uzalishaji na kuzingatia ubora wa mazao yao," alisema.

Hatua ya serikali ya kupandisha bei ya korosho ni miongoni mwa ahadi za Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye ameendelea kusisitiza kuwa serikali yake itaboresha maisha ya wakulima kwa kuhakikisha wanapata bei nzuri za mazao yao, hasa katika mikoa ya kusini kama Mtwara na Lindi.
 

Attachments

  • 15749ce9-0e24-4c1a-b8fb-fb4a0ee01252.mov
    3.6 MB
IMG-20241011-WA0021.jpg
Historia imeandikwa katika mikoa ya kusini baada ya kufanyika mnada wa kwanza wa korosho ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (TANECU), leo Oktoba 11, 2024.

Katika mnada huo, jumla ya tani 3,857 za korosho zimeuzwa kwa bei ya juu ya shilingi 4,120 kwa kilo, huku bei ya chini ikiwa shilingi 4,035. Haya ni mafanikio makubwa kwa wakulima wa korosho ambao wamekuwa wakisubiri kwa hamu bei nzuri ya zao hili muhimu.

Wakulima wa Tandahimba na Newala wameonyesha furaha kubwa kwa hatua hii, huku wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa jitihada zake katika kuhakikisha bei za korosho zinapanda na kuwa na tija kwa wakulima. Wamesema kuwa mnada huu wa kwanza umewapa matumaini makubwa kwamba kilimo chao sasa kinaleta faida zaidi, na maisha yao yataboreka kutokana na ongezeko hili la kipato.

Akizungumza mara baada ya mnada huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Newala, mmoja wa wakulima wa korosho,alisema:

“Tunamshukuru sana Rais Samia kwa juhudi zake za kuhakikisha tunapata bei nzuri kwa mazao yetu. Hii ni hatua kubwa kwa wakulima wa korosho, na tunaamini kwamba serikali itaendelea kutusaidia ili tuendelee kuuza kwa bei nzuri kama hii.”

Aidha, wakulima hao wameiomba serikali kuendelea kusimamia bei hizi kwenye minada ijayo, huku wakionyesha imani kwamba chini ya uongozi wa Rais Samia, sekta ya kilimo cha korosho itaendelea kuimarika na kutoa tija kwa wananchi wa mikoa ya kusini.

Mnada huu umeleta nuru mpya kwa wakulima ambao wamekuwa wakitegemea korosho kama chanzo kikuu cha mapato. Serikali imeonyesha dhamira thabiti ya kuimarisha bei za mazao ya kilimo, na hatua ya leo ni ishara tosha kwamba wakulima wanapewa kipaumbele ili kuinua uchumi wa mikoa ya kusini.

Meneja wa TANECU, Mohamedi Nassoro Mwinguku aliipongeza serikali kwa ushirikiano wake na kuahidi kuendelea kushirikiana na serikali katika kuhakikisha kuwa wakulima wanafaidika na mazao yao.

“Huu ni mwanzo mzuri kwa msimu huu wa korosho, tunatarajia kuona mafanikio zaidi katika minada ijayo. Tunaendelea kuwahimiza wakulima wetu kuongeza uzalishaji na kuzingatia ubora wa mazao yao,” alisema.

Hatua ya serikali ya kupandisha bei ya korosho ni miongoni mwa ahadi za Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye ameendelea kusisitiza kuwa serikali yake itaboresha maisha ya wakulima kwa kuhakikisha wanapata bei nzuri za mazao yao, hasa katika mikoa ya kusini kama Mtwara na Lindi.


Taarifa: Swahilitimes.co.tz
 
Kanda ya kusini kuchele Ndanda kuchele.
CCM kwani imekuwaje? Hela izunguke mikoa yote Madalali wa korosho waondoke.
Kusini tumeona

#MAMA SAMIA KAUPIGA MWINGI KAMA ALIVYOUPIGA UNCLE 2017/2018

kiufupi kila mkulima na kangomba afurahi.

Mnada wa kwanza 4,090 kwa newala na tandahimba

Hii bei ni kubwa sana kwa jinsi watu walivyokuwa wamekata tamaa hata YA kulima na kulizia lorosho zao.

Kumbe miaka ya nyuma mlikuwa mnatuhujumu kwa kiwango kikubwa namna hii .Mwaka jana minada ilifika hadi 1600 ila mwaka huu bei imepaa zaidi.

Kangomba tulio nunua chache kwa kuogopa bei itakuwa chini tumehuzunika sana.

Walio jilipua kwa 1500 wameona matunda yake..

Korosho ni dhahabu yakusini korosho inaweza kukutoa mchana kweupe korosho ni utajiri.

TUNAWASHUKURU CCM KWA KUWAONDOA MADALALI WENU WA KOROSHO.

Soma Pia: Rais Samia umetuteIekeza Wakulima wa Korosho?

======
Leo Oktoba 11, 2024, historia imeandikwa katika mikoa ya kusini baada ya kufanyika mnada wa kwanza wa korosho ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (TANECU).

Katika mnada huo, jumla ya tani 3,857 za korosho zimeuzwa kwa bei ya juu ya shilingi 4,120 kwa kilo, huku bei ya chini ikiwa shilingi 4,035. Haya ni mafanikio makubwa kwa wakulima wa korosho ambao wamekuwa wakisubiri kwa hamu bei nzuri ya zao hili muhimu.

Wakulima wa Tandahimba na Newala wameonyesha furaha kubwa kwa hatua hii, huku wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa jitihada zake katika kuhakikisha bei za korosho zinapanda na kuwa na tija kwa wakulima. Wamesema kuwa mnada huu wa kwanza umewapa matumaini makubwa kwamba kilimo chao sasa kinaleta faida zaidi, na maisha yao yataboreka kutokana na ongezeko hili la kipato.

Akizungumza mara baada ya mnada huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Newala, mmoja wa wakulima wa korosho,alisema:
"Tunamshukuru sana Rais Samia kwa juhudi zake za kuhakikisha tunapata bei nzuri kwa mazao yetu. Hii ni hatua kubwa kwa wakulima wa korosho, na tunaamini kwamba serikali itaendelea kutusaidia ili tuendelee kuuza kwa bei nzuri kama hii."

Aidha, wakulima hao wameiomba serikali kuendelea kusimamia bei hizi kwenye minada ijayo, huku wakionyesha imani kwamba chini ya uongozi wa Rais Samia, sekta ya kilimo cha korosho itaendelea kuimarika na kutoa tija kwa wananchi wa mikoa ya kusini.

Mnada huu umeleta nuru mpya kwa wakulima ambao wamekuwa wakitegemea korosho kama chanzo kikuu cha mapato. Serikali imeonyesha dhamira thabiti ya kuimarisha bei za mazao ya kilimo, na hatua ya leo ni ishara tosha kwamba wakulima wanapewa kipaumbele ili kuinua uchumi wa mikoa ya kusini.
Safi sana mama
 
View attachment 3122159Historia imeandikwa katika mikoa ya kusini baada ya kufanyika mnada wa kwanza wa korosho ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (TANECU), leo Oktoba 11, 2024.

Katika mnada huo, jumla ya tani 3,857 za korosho zimeuzwa kwa bei ya juu ya shilingi 4,120 kwa kilo, huku bei ya chini ikiwa shilingi 4,035. Haya ni mafanikio makubwa kwa wakulima wa korosho ambao wamekuwa wakisubiri kwa hamu bei nzuri ya zao hili muhimu.

Wakulima wa Tandahimba na Newala wameonyesha furaha kubwa kwa hatua hii, huku wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa jitihada zake katika kuhakikisha bei za korosho zinapanda na kuwa na tija kwa wakulima. Wamesema kuwa mnada huu wa kwanza umewapa matumaini makubwa kwamba kilimo chao sasa kinaleta faida zaidi, na maisha yao yataboreka kutokana na ongezeko hili la kipato.

Akizungumza mara baada ya mnada huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Newala, mmoja wa wakulima wa korosho,alisema:

“Tunamshukuru sana Rais Samia kwa juhudi zake za kuhakikisha tunapata bei nzuri kwa mazao yetu. Hii ni hatua kubwa kwa wakulima wa korosho, na tunaamini kwamba serikali itaendelea kutusaidia ili tuendelee kuuza kwa bei nzuri kama hii.”

Aidha, wakulima hao wameiomba serikali kuendelea kusimamia bei hizi kwenye minada ijayo, huku wakionyesha imani kwamba chini ya uongozi wa Rais Samia, sekta ya kilimo cha korosho itaendelea kuimarika na kutoa tija kwa wananchi wa mikoa ya kusini.

Mnada huu umeleta nuru mpya kwa wakulima ambao wamekuwa wakitegemea korosho kama chanzo kikuu cha mapato. Serikali imeonyesha dhamira thabiti ya kuimarisha bei za mazao ya kilimo, na hatua ya leo ni ishara tosha kwamba wakulima wanapewa kipaumbele ili kuinua uchumi wa mikoa ya kusini.

Meneja wa TANECU, Mohamedi Nassoro Mwinguku aliipongeza serikali kwa ushirikiano wake na kuahidi kuendelea kushirikiana na serikali katika kuhakikisha kuwa wakulima wanafaidika na mazao yao.

“Huu ni mwanzo mzuri kwa msimu huu wa korosho, tunatarajia kuona mafanikio zaidi katika minada ijayo. Tunaendelea kuwahimiza wakulima wetu kuongeza uzalishaji na kuzingatia ubora wa mazao yao,” alisema.

Hatua ya serikali ya kupandisha bei ya korosho ni miongoni mwa ahadi za Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye ameendelea kusisitiza kuwa serikali yake itaboresha maisha ya wakulima kwa kuhakikisha wanapata bei nzuri za mazao yao, hasa katika mikoa ya kusini kama Mtwara na Lindi.


Taarifa: Swahilitimes.co.tz
Safi sana
 
Kanda ya kusini kuchele Ndanda kuchele.
CCM kwani imekuwaje? Hela izunguke mikoa yote Madalali wa korosho waondoke.
Kusini tumeona

#MAMA SAMIA KAUPIGA MWINGI KAMA ALIVYOUPIGA UNCLE 2017/2018

kiufupi kila mkulima na kangomba afurahi.

Mnada wa kwanza 4,090 kwa newala na tandahimba

Hii bei ni kubwa sana kwa jinsi watu walivyokuwa wamekata tamaa hata YA kulima na kulizia lorosho zao.

Kumbe miaka ya nyuma mlikuwa mnatuhujumu kwa kiwango kikubwa namna hii .Mwaka jana minada ilifika hadi 1600 ila mwaka huu bei imepaa zaidi.

Kangomba tulio nunua chache kwa kuogopa bei itakuwa chini tumehuzunika sana.

Walio jilipua kwa 1500 wameona matunda yake..

Korosho ni dhahabu yakusini korosho inaweza kukutoa mchana kweupe korosho ni utajiri.

TUNAWASHUKURU CCM KWA KUWAONDOA MADALALI WENU WA KOROSHO.

Soma Pia: Rais Samia umetuteIekeza Wakulima wa Korosho?

======
Leo Oktoba 11, 2024, historia imeandikwa katika mikoa ya kusini baada ya kufanyika mnada wa kwanza wa korosho ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (TANECU).

Katika mnada huo, jumla ya tani 3,857 za korosho zimeuzwa kwa bei ya juu ya shilingi 4,120 kwa kilo, huku bei ya chini ikiwa shilingi 4,035. Haya ni mafanikio makubwa kwa wakulima wa korosho ambao wamekuwa wakisubiri kwa hamu bei nzuri ya zao hili muhimu.

Wakulima wa Tandahimba na Newala wameonyesha furaha kubwa kwa hatua hii, huku wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa jitihada zake katika kuhakikisha bei za korosho zinapanda na kuwa na tija kwa wakulima. Wamesema kuwa mnada huu wa kwanza umewapa matumaini makubwa kwamba kilimo chao sasa kinaleta faida zaidi, na maisha yao yataboreka kutokana na ongezeko hili la kipato.

Akizungumza mara baada ya mnada huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Newala, mmoja wa wakulima wa korosho,alisema:
"Tunamshukuru sana Rais Samia kwa juhudi zake za kuhakikisha tunapata bei nzuri kwa mazao yetu. Hii ni hatua kubwa kwa wakulima wa korosho, na tunaamini kwamba serikali itaendelea kutusaidia ili tuendelee kuuza kwa bei nzuri kama hii."

Aidha, wakulima hao wameiomba serikali kuendelea kusimamia bei hizi kwenye minada ijayo, huku wakionyesha imani kwamba chini ya uongozi wa Rais Samia, sekta ya kilimo cha korosho itaendelea kuimarika na kutoa tija kwa wananchi wa mikoa ya kusini.

Mnada huu umeleta nuru mpya kwa wakulima ambao wamekuwa wakitegemea korosho kama chanzo kikuu cha mapato. Serikali imeonyesha dhamira thabiti ya kuimarisha bei za mazao ya kilimo, na hatua ya leo ni ishara tosha kwamba wakulima wanapewa kipaumbele ili kuinua uchumi wa mikoa ya kusini.
Lione hili Kwahiyo korosho za samia? wakulima waliotoa jasho lao kuzilima huwajui?
 
Mnada wa kwanza wa korosho wapata mafanikio tandahimba na newala: wakulima wamshukuru Rais Samia

Leo Oktoba 11, 2024, historia imeandikwa katika mikoa ya kusini baada ya kufanyika mnada wa kwanza wa korosho ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (TANECU).

Katika mnada huo, jumla ya tani 3,857 za korosho zimeuzwa kwa bei ya juu ya shilingi 4,120 kwa kilo, huku bei ya chini ikiwa shilingi 4,035. Haya ni mafanikio makubwa kwa wakulima wa korosho ambao wamekuwa wakisubiri kwa hamu bei nzuri ya zao hili muhimu.

Wakulima wa Tandahimba na Newala wameonyesha furaha kubwa kwa hatua hii, huku wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa jitihada zake katika kuhakikisha bei za korosho zinapanda na kuwa na tija kwa wakulima. Wamesema kuwa mnada huu wa kwanza umewapa matumaini makubwa kwamba kilimo chao sasa kinaleta faida zaidi, na maisha yao yataboreka kutokana na ongezeko hili la kipato.

Akizungumza mara baada ya mnada huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Newala, mmoja wa wakulima wa korosho,alisema:
"Tunamshukuru sana Rais Samia kwa juhudi zake za kuhakikisha tunapata bei nzuri kwa mazao yetu. Hii ni hatua kubwa kwa wakulima wa korosho, na tunaamini kwamba serikali itaendelea kutusaidia ili tuendelee kuuza kwa bei nzuri kama hii."

Aidha, wakulima hao wameiomba serikali kuendelea kusimamia bei hizi kwenye minada ijayo, huku wakionyesha imani kwamba chini ya uongozi wa Rais Samia, sekta ya kilimo cha korosho itaendelea kuimarika na kutoa tija kwa wananchi wa mikoa ya kusini.

Mnada huu umeleta nuru mpya kwa wakulima ambao wamekuwa wakitegemea korosho kama chanzo kikuu cha mapato. Serikali imeonyesha dhamira thabiti ya kuimarisha bei za mazao ya kilimo, na hatua ya leo ni ishara tosha kwamba wakulima wanapewa kipaumbele ili kuinua uchumi wa mikoa ya kusini.

Meneja wa TANECU, Mohamedi Nassoro Mwinguku aliipongeza serikali kwa ushirikiano wake na kuahidi kuendelea kushirikiana na serikali katika kuhakikisha kuwa wakulima wanafaidika na mazao yao.
"Huu ni mwanzo mzuri kwa msimu huu wa korosho, tunatarajia kuona mafanikio zaidi katika minada ijayo. Tunaendelea kuwahimiza wakulima wetu kuongeza uzalishaji na kuzingatia ubora wa mazao yao," alisema.

Hatua ya serikali ya kupandisha bei ya korosho ni miongoni mwa ahadi za Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye ameendelea kusisitiza kuwa serikali yake itaboresha maisha ya wakulima kwa kuhakikisha wanapata bei nzuri za mazao yao, hasa katika mikoa ya kusini kama Mtwara na Lindi.
Sio mbaya leo tu imeingia billion 15.56 sio haba kabisa kwa hizo tani!
 
Kanda ya kusini kuchele Ndanda kuchele.
CCM kwani imekuwaje? Hela izunguke mikoa yote Madalali wa korosho waondoke.
Kusini tumeona

#MAMA SAMIA KAUPIGA MWINGI KAMA ALIVYOUPIGA UNCLE 2017/2018

kiufupi kila mkulima na kangomba afurahi.

Mnada wa kwanza 4,090 kwa newala na tandahimba

Hii bei ni kubwa sana kwa jinsi watu walivyokuwa wamekata tamaa hata YA kulima na kulizia lorosho zao.

Kumbe miaka ya nyuma mlikuwa mnatuhujumu kwa kiwango kikubwa namna hii .Mwaka jana minada ilifika hadi 1600 ila mwaka huu bei imepaa zaidi.

Kangomba tulio nunua chache kwa kuogopa bei itakuwa chini tumehuzunika sana.

Walio jilipua kwa 1500 wameona matunda yake..

Korosho ni dhahabu yakusini korosho inaweza kukutoa mchana kweupe korosho ni utajiri.

TUNAWASHUKURU CCM KWA KUWAONDOA MADALALI WENU WA KOROSHO.

Soma Pia: Rais Samia umetuteIekeza Wakulima wa Korosho?

======
Leo Oktoba 11, 2024, historia imeandikwa katika mikoa ya kusini baada ya kufanyika mnada wa kwanza wa korosho ulioandaliwa na Chama Kikuu cha Ushirika Tandahimba na Newala (TANECU).

Katika mnada huo, jumla ya tani 3,857 za korosho zimeuzwa kwa bei ya juu ya shilingi 4,120 kwa kilo, huku bei ya chini ikiwa shilingi 4,035. Haya ni mafanikio makubwa kwa wakulima wa korosho ambao wamekuwa wakisubiri kwa hamu bei nzuri ya zao hili muhimu.

Wakulima wa Tandahimba na Newala wameonyesha furaha kubwa kwa hatua hii, huku wakimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa jitihada zake katika kuhakikisha bei za korosho zinapanda na kuwa na tija kwa wakulima. Wamesema kuwa mnada huu wa kwanza umewapa matumaini makubwa kwamba kilimo chao sasa kinaleta faida zaidi, na maisha yao yataboreka kutokana na ongezeko hili la kipato.

Akizungumza mara baada ya mnada huo uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Mji wa Newala, mmoja wa wakulima wa korosho,alisema:
"Tunamshukuru sana Rais Samia kwa juhudi zake za kuhakikisha tunapata bei nzuri kwa mazao yetu. Hii ni hatua kubwa kwa wakulima wa korosho, na tunaamini kwamba serikali itaendelea kutusaidia ili tuendelee kuuza kwa bei nzuri kama hii."

Aidha, wakulima hao wameiomba serikali kuendelea kusimamia bei hizi kwenye minada ijayo, huku wakionyesha imani kwamba chini ya uongozi wa Rais Samia, sekta ya kilimo cha korosho itaendelea kuimarika na kutoa tija kwa wananchi wa mikoa ya kusini.

Mnada huu umeleta nuru mpya kwa wakulima ambao wamekuwa wakitegemea korosho kama chanzo kikuu cha mapato. Serikali imeonyesha dhamira thabiti ya kuimarisha bei za mazao ya kilimo, na hatua ya leo ni ishara tosha kwamba wakulima wanapewa kipaumbele ili kuinua uchumi wa mikoa ya kusini.
Imefika 4,190.
 
Back
Top Bottom