Hongera Rais Samia Kuzindua Filamu ya Royal Tour Marekani, Ingenoga Zaidi Kama Mama Angetua Marekani na Dreamliner Full of Wabongo!


Una uhakika KUWA lile deni la MLEBANONI aliyewakodishia ATCL ndege mbovu ana ya AIRBUS limelipwa? Kwani huyu ndiye anaewinda kukamata ndege zikienda Uingereza.!!
 
Ni mwaka 2014.
Itakuwa ni kweli sizijui siasa za CCM.
P
 
Una uhakika KUWA lile deni la MLEBANONI aliyewakodishia ATCL ndege mbovu ana ya AIRBUS limelipwa? Kwani huyu ndiye anaewinda kukamata ndege zikienda Uingereza.!!
Madeni yote yamelipwa, Tanzania hatudaiwi na yeyote madeni chechefu.
ATC iko free kuruka popote, kutua popote, Jana Dallas wameongezeka kwenye mkataba wa anga huria.
P
 
... picha la kitanzania linazinduliwa Marekani badala ya Tanzania; hii imekaaje?

And why kwa beberu Mkuu Marekani? Mnataka kuwaambua nini warusi wa Buza na wachina wa Kwa Mpalange vyama vyao rafiki na chama letu pendwa?
Wakikujibu nitag plz
 
Hili jema Sana!

Nilifikiri bado. Tunarukaruka Ka bisi motoni, tukiwakwepa wadeni wetu!
Asante Mkuu P SNR kwa taarifa.
 
Ndomana anko magu alikuita Njaa [emoji1787][emoji1787]akili zako zipo kinjaanjaa tu
 
Asante Mkuu P SNR kwa taarifa.
Mkuu Bambushka, asante kutumia title yangu mpya ya P.Snr, P.Jnr yupo na Mungu kasaidia ni akishiba ni mbonji kwa Sana!, maana niliogopa sana kutatizwa na zile sleepless nights za newborn babies kwa umri huu wa over 50!, it's not fun anymore!.
P
 
Mkuu Bambushka, asante kutumia title yangu mpya ya P.Snr, P.Jnr yupo na Mungu kasaidia ni akishiba ni mbonji kwa Sana!, maana niliogopa sana kutatizwa na zile sleepless nights za newborn babies kwa umri huu wa over 50!, it's not fun anymore!.
P
Enjoy those sleepless nights!

They're a bundle of joy!
 
Madeni yote yamelipwa, Tanzania hatudaiwi na yeyote madeni chechefu.
ATC iko free kuruka popote, kutua popote, Jana Dallas wameongezeka kwenye mkataba wa anga huria.
P

Kama kweli wamelipa madeni yote ya nje basi ni kheri ; sasa waje wawalipe na wafanyakazi wa zamani ambao mpaka sasa wanadai haki zao!!
 
Kama kweli wamelipa madeni yote ya nje basi ni kheri ; sasa waje wawalipe na wafanyakazi kazi wa zamani ambao mpaka sasa wanadai haki zao!!
Kwenye ulipaji wa madeni, tunatumia formula ya The African Hospitality, mgeni kwanza, hivyo tumelipa madeni yote ya nje kwanza hata watoto wakilala njaa. Ingekuwa ni wazungu, tungeanza na madeni ya ndani kwa mtindo wa Charity Start at home.
P.
 
Paschal,
I thought you have seen life and you are better than that. By insinuation, you are agreeing that TZ is a failed state and that is because of the immediate past president. Tanzania, became a failed state during JMK time and only came back to limelight after Magufuli. Of cause had serious problems with democracy. He failed to integrate democracy with his zeal to develop the nation. As a result, he made many enemies. It is these enemies who took his life. But then that is history.
Currently we are facing the problem of a comeback of those who took TZ to the dungeon. Those who made TZ a failed state. They are now busy blaming everything on Magufuli. A good leader does not blame on her failrues on what a past leader had done. In other countries you never hear a leader blaming a past one. They only work hard to let what they are doing show the difference. Even Magufuli never blamed Kikwete for anything, and that is what a determined good leader does.

Since Magufuli's death, all problems are due to him. When is the president and her people starting to be responsible for what they do. In all appearances efforts have been made by the current government to demonize Magufuli. SSH has actually done that by bring back failed ministers. Of course she has that mandate and freedom, she needs to be careful, investigate, and determine if there is need. She is not in opposition, therefore she should not look like as one in opposition. But, in reality actions shown by her is like that of a president from opposition.

I have said, one area Magufuli made serious or even grave mistakes is how he treated opposition. If SSH is really different (better) from Magufuli, why has she not let opposition have the freedom that was curtailed by Magufuli? Why is she afraid the katiba issue? I know a lot of people are blaming Magufuli for katiba. The right person to blame with katiba is Kikwete. He was not man enough to stand up and support katiba. He should have stood firm with CCM, but because the katiba had sections that curtailed presidential powers, he became in cahoots with the power hungry and all was reduced to useless piece of paper. It is time to ask SSH to be woman enough to support katiba, siyo kuleta mambo ya Kiswahili ya kucheka huku unang'ata.
 
Mkuu ksk , thanks for this. Kiukweli hii post yako ni a thead on it's own.
P
 
Itaitambulisha Tanzania kwa wageni ambao hawaifahamu nchi yetu,na kukiza utalii.
Utalii imeajiri vijana wengi sana kama madereva waongoza watalii,mahotelia na idara nyingine nyingi
Kumbe Tanzania haijulikani?? Wengine wanaweza kukufahamu wakakupuuza tu
 
Nasikia video za hii tour zilikuwa zinarekodiwa na watu weupe kwa kile kinachodaiwa kuwa ilikuwa ya kimataifa.
 
Mayalla, why president?? Hivi wangechaguliwa vijana 3 kutoka umasaini, 4 kutoka ukuryani, 2 Usukumani, Jb na Wema wakawa stars, si ingetosha kuutangaza utalii?? Au kulikuwa na ulazima wa Peter kutega Samaki ndio filam ingetazika??, Niliskia oooh yeah, Peter how is the morning?? This is best for the president, Fanani nimekuona ukitoa pongezi
 
Ni Presidaa kwasababu ndiye starring!. Kwa vile JB na Wema, they are all stars on their own, it's up to us local producers, kutengeneza Wema Tour na JB tour wao ndio wakazindue, premiera zote starring ndie star.

P
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…