Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi
Hii ni Makala ya Jumapili ya Jana.
Hongera Rais Samia Kuzindua Filamu ya Royal Tour Marekani, Ingenoga Zaidi Kama Mama Angetua Marekani na Dreamliner Full of Wabongo!.
Usikose kuangalia uzinduzi huu mubashara kuanzia Saa ,1:30 usiku huu kwa saa za Marekani ambapo tumepishana masaa 7, hivyo kwa Tanzania itakuwa ni saa 8:30 usiku.
NB. Hili ni Bandiko mwendelezo
Bandiko la kwanza ni hili.
www.jamiiforums.com
Bandiko la pili
www.jamiiforums.com
Hii ni Makala ya Jumapili ya Jana.
Hongera Rais Samia Kuzindua Filamu ya Royal Tour Marekani, Ingenoga Zaidi Kama Mama Angetua Marekani na Dreamliner Full of Wabongo!.
Usikose kuangalia uzinduzi huu mubashara kuanzia Saa ,1:30 usiku huu kwa saa za Marekani ambapo tumepishana masaa 7, hivyo kwa Tanzania itakuwa ni saa 8:30 usiku.
- Kwa sasa sekta ya utalii ndio sekta ya pili Kwa kuingiza Sana fedha za kigeni, na baada ya uzinduzi huu, sekta ya utalii ndio itaongoza.
- Tanzania ndio nchi inayoongoza Kwa vivutio vingi vya asili vya utalii, tatizo ni tulikuwa, hatujitangazi. Sasa ndio tunatangaza.
- Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ametuleta New York na kujikumbusha enzi zake za utangazaji, akimhoji Msemaji Mkuu mstaafu wa serikali, Dr. Hassan Abasi.
- Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya filamu ya Royal Tour, Dr. Hassan Abbas amemsema uzinduzi utahudhuriwa na wageni mashuhuri 400 akiwemo Mayor wa Jiji la New York.
NB. Hili ni Bandiko mwendelezo
Bandiko la kwanza ni hili.
Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huwaletea mfufululizo wa makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni bandiko la pongezi na ombi. Pongezi ni kwa Rais Samia, kusafiri kwa kukwea pipa la watu, kwenda nchini Marekani, na kuhutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA. Ombi ni kwa...
Je, Uzinduzi Royal Tour ungekuwa na maana kama Rais Samia angetua kwa Dreamliner & ATC kuzindua Direct Flights from DAR-JFK-DAR/JRO-JFK-JRO?
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya Leo ikiwa ni makala ya swali la hypothetical question (swali la kufikirika), Kwa njia ya "thinking aloud", yaani unawaza kwa sauti. Hii ni makala mwendelezo wa makala hii Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN...