Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN, Safari ya Kuzindua Filamu Yako ya Royal Tour, Tunaomba Tukusindikize, Dreamliner Yetu Itue New York

Utalii unajitangaza wenyewe kupitia watalii waliotembelea sehemu hizo na media binafsi. Mfano Serengeti nani anaitangaza kwanguvu? Tanzania kinachojulikana ni Serengeti na Mt K'njaro.
 
Rais kaenda na wafanyabiashara Sasa shida yako nini?👇







 
Pascal wewe ni mwanasheria kutumia neno la wivu wa kike ni uzalilishaji wa kimamama au wanawake .umenisonesha sanaa. Omba msamaha.
 
Mzururaji tu uyo

Ila Paskal nimekusoma vizur na kama ile kamati ya bunge ikikusoma vizuri basi 77 na 88 ijayo kampuni yako haitopewa tenda na utarudi kwenye njaaa kali kama ulivyokuwa katika awamu 5
 

Kwani mkuu SSH au JPM wafanye lipi linaloweza kukufanya wewe kupiga kelele?



Wewe si ni wale ambao hata mkifanywa vipi - hamkatai?
 
Nimeishia kusoma pale uliposema wenye wivu tuishie hapa kwa sababu hata mimi nilidhani unasaka uteuzi.

Ila kwa vile umeshasema husaki uteuzi, nitakuwa nasoma mada zako zote kwa sababu najua uteuzi ni kitu kidogo kwako, hata ukipata unajikatalia.
 
Tusaidiane ndugu zangu kwani ni kipi kinasababisha utalii Tanzania kususua ,Je ni Boing kutokutua USA ikiwa na Chifu Hangaya? Na kama angetua nayo basi watalii wangemwagika kama mafuliko.Tusidanganyane sekta ya utalii Ina matatizo makubwa sana hasa Kodi na matazo ya ajabuajabu kama haya mambo yasipolekebishwa hiyo Loyal Tour itakua ni bule tu.
Ushauri wangu Serikali kupitia Wizara ya utalii kaeni na wadau wa utalii Wana mengi ya kuwaeleza ili mfikie Sulihisho na hatimae sekta ikue.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utalii unajitangaza wenyewe kupitia watalii waliotembelea sehemu hizo na media binafsi. Mfano Serengeti nani anaitangaza kwanguvu? Tanzania kinachojulikana ni Serengeti na Mt K'njaro.
Waambie ukweli mchungu.Wizara ya utalii wake na wadau wa utalii Wana matatizo yao Tena makubwa hasa makodi makubwa .naamini hizo shida zikitatuliwa basi watalii watakuja wengi Sana na Nchi itapata faida ingawa ni kweli pia sekalta ya anga nayo ni mhimu Sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…