Nimecheka hii komenti ha ha aaaaBadala ya kuleta maneno matupu kwanini usipige picha hizo nyumba tuzione, halafu ukiitwa chawa unanuna, punguza this nonsense unakuwa very cheap.
Ni watz wachache sana walioweza kuling'amua hili, wengi bado ni vipofu wa kuona kitu gani kinaendelea NCAA.Serikali ya CCM huwa hawaingiagi gharama kizembe kwa manufaa ya wanainchi. Hapo kuna kitu iinaendelea na kitakuja kufanyika kule ngorongoro...... Kuna jambo wanataka kulifanya na linaonekana kuwa litawabefit wao zaidi kuliko taifa.
Haya majitu hayanaga utu hata kidogo.
Wangekuwa wanawajali sana hao wanainch kama serikali wangeanzidha special programs za kuwatrain watu namna ya kuishi yale mazingira kulingana na uhitaji.Ni watz wachache sana walioweza kuling'amua hili, wengi bado ni vipofu wa kuona kitu gani kinaendelea NCAA.
Nami nimefungua hii mada fasta ili nione picha kumbe ana maneno tu...........Picha ziko wapi
Hilo ndo jambo la kutilia msisitizo kwa sasa! Sio Handeni na kilindi tu! Tanzania nzima wafugaji wapewe teknolojia Bora kuwawezesha kufuga mifugo michache tena kibiasharaTatizo la Ngorongoro sio watu pekee ni Ng'ombe wengi. Sasa cha kujiuliza tunataka sehemu ya Handeni iwekwe ng'ombe 1M ? Bila kuwa na utaratibu na mpangilio mazingira yataharibiwa sana. Serikali isifanye makosa kuhamisha watu bila utaratibu mzuri wa mifugo
Samia ndo Rais wako hadi 2030 kama hutaki kunywa sumuHata akiwajengea mahekalu akawapa na sheli na kuwapeleka Ulaya (kwa wachuuzi) wake bado haitoshi yeye kuvuka 2025 akiwa raisi wa kuchaguliwa wa JMT.
Sasa mnajengaje makazi ya watu ambao hawajakubali kuhama?
Ashukuru hata hii minne kwa kukalia nyota ya JPM vinginevyo angeendelea na kudemkia kwenye u vice. Kama anajiona uwezo anao basi na ajiandae 2025 kuongoza Kisiwandui na si JMT tenaSamia ndo Rais wako hadi 2030 kama hutaki kunywa sumu
Nakuonea huruma sana! Utakufa na kijiba chako! Kwa anayofanya Samia tunampa hadi 2030Ashukuru hata hii minne kwa kukalia nyota ya JPM vinginevyo angeendelea na kudemkia kwenye u vice. Kama anajiona uwezo anao basi na ajiandae 2025 kuongoza Kisiwandui na si JMT tena
Mama Ana Chawa Kila Kona Yaani Hawa Maasai Laki Tano Wote Wapigwe MijengoChawa wa mama
Mama Ana Chawa Kila Kona Yaani Hawa Maasai Laki Tano Wote Wapigwe MijengoChawa wa mama
Wenyewe wanajiita nyuki wa mama
Kwanini ilishindikana?Mwaka 2016, serikali ilianza mchakato wa kuwaondoa watu walioko hifadhi ya Ngorongoro na kwa bahati mbaya ulikuwa ni mpango wa siri, kuna barua ilivuja kutoka Ofisi ya Rais, kwamba itafutwe sehemu ya kwenda kuwapeleka ambayo ni Oldonyosambo.. !
Unabisha au hutaki? Njoo Handeni na kilindi uoneMama Ana Chawa Kila Kona Yaani Hawa Maasai Laki Tano Wote Wapigwe Mijengo
Tuache Unafki