Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Serikali ya CCM huwa hawaingiagi gharama kizembe kwa manufaa ya wanainchi. Hapo kuna kitu iinaendelea na kitakuja kufanyika kule ngorongoro...... Kuna jambo wanataka kulifanya na linaonekana kuwa litawabefit wao zaidi kuliko taifa.
Haya majitu hayanaga utu hata kidogo.
Haya majitu hayanaga utu hata kidogo.