Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very true... Dar ni pamoto sema tulipapuuzia wenyewe. Waboreshe tu na garden za barabarani zifanane na pale Lugalo aisee hutoamini ndio Dar hii hii tunaiona ya kifal.a. Jiwe kashatupigia mibarabara saiz tushindwe tu wenyewe kupendezesha kwa vitu vidogo. Hongera sana Amos Makalla sio kama bwana yule sifa kibao hamna alichofanyaKuna watu wataanza kupost picha wakiwa hapahapa Bongo watudanganye kwamba wako ulaya. Sasa tunaenda kuona haiba halisi ya Jiji.
Kwakweli maana Dar ilikua ishakua kichaka cha kila mtu yaani mtu anajua akija anajenga kibanda pembeni ya road anaishi na anafanya bizna. Dar haikua na viwango...saiz watajichuja wenyewe.Asee hapa Makala kaupiga mwingi Sana! Wanyooshe baba Waje huku bushi tulime ming'oko kama hawataki usafi
Safi sana. Ilikuwa ni too much.Hakika nimepita leo sikuamini. (CBE) Hapo karibu na ofisi yako zilipo ofisi za TFF ni machinga lakini pameoza
Mkuu GT nimeuja kukujua una roho mbaya sana kwa maskini. Ni katika hule uzi wa wale wasafisha vioo vya magari kwenye foleniWasisahau kituo cha bus cha railway station!
Hapana mkuu. Hii sio kuhusu masikini au tajiri ni kufuata utaratibu tu. Mji hauwezi kuwa na vibanda kwenye njia za watembea kwa miguu,vituo vya bus,juu ya mitaro sio Sawa. Ifike mahali tuishi kwa utaratibu.Mkuu GT nimeuja kukujua una roho mbaya sana kwa maskini. Ni katika hule uzi wa wale wasafisha vioo vya magari kwenye foleni
Hawa watu hawana woga, kuna barabara mpya kule coco beach washaanza kuweka vibanda kwenye njia za watembea kwa miguu!Safi sana. Ilikuwa ni too much.
Siamini hapa mahala pamekua hivi hakyanan kesho naenda kujionea mwenyewe aisee. Na mbele ya DIT pale walivamia wakawa wanakaanga mihogo kwa kuni full mimoshi kama tupo ulyankulu
Siamini hapa mahala pamekua hivi hakyanan kesho naenda kujionea mwenyewe aisee. Na mbele ya DIT pale walivamia wakawa wanakaanga mihogo kwa kuni full mimoshi kama tupo ulyankulu
Wakimaliza hilo zoezi la kuhamisha machinga waajili watu wa kufagia mjini pawe pasafi.
Jiji lilikua lishakua kijiji,hadi fire pale jamaa walianza kupanga makopo sielewi walikua wanauza au bangi tu yaani full takataka. Maza sijawahi muelewa ila hapa kanifurahisha
😀😀😀😀 hivi ni ulyankulu au Bulyankulu, mkuu umenichekesha sana!Siamini hapa mahala pamekua hivi hakyanan kesho naenda kujionea mwenyewe aisee. Na mbele ya DIT pale walivamia wakawa wanakaanga mihogo kwa kuni full mimoshi kama tupo ulyankulu
Makala ni jembe
Kabisaaa kuwa maskini haimaanishi kuvunja taratibu za nchi mie ni maskini lakini sifurahii huu uchafuzi wa majiji..Hapana mkuu. Hii sio kuhusu masikini au tajiri ni kufuata utaratibu tu. Mji hauwezi kuwa na vibanda kwenye njia za watembea kwa miguu,vituo vya bus,juu ya mitaro sio Sawa. Ifike mahali tuishi kwa utaratibu.
[emoji38][emoji38][emoji38]Kimbembe kimehamia Mbezi mwisho hahahaaa...kule ni laana saizi vinapigwa vinanda vya mabati na vya miti kwenye eneo la kati ya morogoro road na road ya kuingilia stendi ya magufuli. Kama ni mgeni ukiambiwa ndo umefika Dar na mazingira yale lazma upigwe ganzi...
Pale ni nomaaz[emoji119]Hivi pale katikati ya Kariakoo wataondoka? yaani nikero aise