Hongera RC Makalla, hakika vibanda vya Machinga ulikuwa ni uchafu

Hongera RC Makalla, hakika vibanda vya Machinga ulikuwa ni uchafu

Lakini tukumbuke ktk shida ya ajira hao machinga ambao Leo mnafurahia kuwa wamefukuzwa mjini ni vijana graduates ambao wamekosa ajira hawajapenda kupanga vitu barabarani ila ni maisha ....mpango mzima wa hili swala sijaona ukizungumza ni jinsi watawasaidia Hawa machinga warudi ktk hali yao ya kawaida.....Sasa wanaugulia maumivu makali ya kiuchumi na tukumbuke wengine wanafamilia.....na hapo hapo wanasiasa wanazungumza watu wajiajiri .....nyinyi ambao mnafurahia mji kuwa msafi pengine mna ajira zenu maofisini lakn hamuangalii maumivu wanayopitia wenzenu ...jadirini ni kivipi serikari itapunguza tatizo la ajira...kwani magufuri alikuwa ajui kuwa mji ni mchafu alikuwa anajiuliza wanaenda wapi...mnafurahia lakn hamjui impact yake inaweza kuongeza ualifu.....
 
Safii sanaa Dar, hongera Mh. Rais Samia, Machinga wapangwe sehemu maalum kwa ajili ya biashara zao. Watu watawafuata huko huko kununua bidhaa tu

Sasa ni ku deal na watu waliojenga barabarani kabisa, hasa njia za ndani za Dar na miji mingine, wako watu wamejenga katikati ya barabara za mitaani, tena kwa jeuri tu. Miji haifai kuwa hivyo, huduma za maji, afya, umeme au fire zinategemea barabara hizo za mitaani kuwafikia wananchi wengi. Sasa unakuta mtu mmoja kajenga kazuia barabara.
 
Ukiwaacha wiki wanajenga na malumalu wanaweka chini. Mfano Mawasiliano Bus stand.
Aiseh inashangaza sana kuona kuwa watu wanafanya ujenzi kama huo kwenye road reserve na watu wa mamlaka wako kimya tu...hiyo Mawasiliano road ukiangalia pembeni watu wamepiga tiles hadi mwanzoni mwa lami kabisa...

Mamlaka zinakuwa wapi? Kariakoo mule pedestrian lanes karibu zote zimejaa vibanda vya biashara....hakuna pa kupita. Watembea kwa miguu inabidi wapishane na magari sasa kwenye lanes za magari. Hatari sana.
 
Bodo mkoa flani unajiita mji kasoro bahari.!

Mji mchafu sijawahi kuona, hivi hawa wakuu wa miji huwa hawatembelei mikoa mingine mfano mkoa wa Iringa.
Mkoa wa Iringa ni msafi nahisi utakua umeupiga gep Moshi kwa sasa.
Acha utani nenda iringa then nenda moshi njoo mwenyewe usema
 
Lakini tukumbuke ktk shida ya ajira hao machinga ambao Leo mnafurahia kuwa wamefukuzwa mjini ni vijana graduates ambao wamekosa ajira hawajapenda kupanga vitu barabarani ila ni maisha ....mpango mzima wa hili swala sijaona ukizungumza ni jinsi watawasaidia Hawa machinga warudi ktk hali yao ya kawaida.....Sasa wanaugulia maumivu makali ya kiuchumi na tukumbuke wengine wanafamilia.....na hapo hapo wanasiasa wanazungumza watu wajiajiri .....nyinyi ambao mnafurahia mji kuwa msafi pengine mna ajira zenu maofisini lakn hamuangalii maumivu wanayopitia wenzenu ...jadirini ni kivipi serikari itapunguza tatizo la ajira...kwani magufuri alikuwa ajui kuwa mji ni mchafu alikuwa anajiuliza wanaenda wapi...mnafurahia lakn hamjui impact yake inaweza kuongeza ualifu.....
Jaribu kufanya huo uhalifu, Ukutane na wananchi wenye hasira kali, ambao hata nafasi ya kuwa machinga hawana, Ndiyo utajua hujui watu wenye hasira kali.
 
Kabisaaa kuwa maskini haimaanishi kuvunja taratibu za nchi mie ni maskini lakini sifurahii huu uchafuzi wa majiji..

Wakuu wa mikoa mingine, wafanye nao hili.

Haiwezekani maafisa ardhi, mazingira mabwana afya wapo tunawalipa bure hawawezi kutimiza majukumu kisa mwanasiasa mmoja!

Everyday is Saturday................................😎
Point💪
 
Amos Makalla anaupiga mwingi haswa.......

Kitu kimoja wengi wasichokijua ni kuwa mh.Mkuu wa mkoa ana hulka ya "USIKIVU SANA"...KUJISHUSHA SANA....na UTEKELEZAJI MKUBWA na si "pang'ang'a"

Kongole kwake 💪👍

Siempre JMT
 
Back
Top Bottom