Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa sawasawa, majina huwa yananichanganya.Yote ni maeneo, ila Bulya kunaitwa Bulyanhulu...
Yaani nimewawaza sana hawa madogo,kula yao sasa inarudi kuwa ya shida sanaPoleni sana wadogo zangu wa CBE,DIT na IFM hao wauza mihogo,chips na mama ntilie walikuwa wana saidia sana kupunguza Ugumu wa maisha
Wakaguse na kariakoo, pia ile barabara ya uhuru toka kariakoo kwenda karume ni shida tupuMbona mlisema wamachinga hawawezi kuguswa?
hahahs hili jina la ming'oko nililisikia katavi hivi inalimwa ile au inajiotea yenyewe poriniMzee baba nimemiss ming'oko.
Ukija town nibebee
Akili mingi sana we jamaa.Yule mzee mtu anaemuongelea utumbo najiskia kutapika yani😅!!! Jamaa amefanya vitu vinavyoonekana sikazi ingalikuwa kiongozi wa Calibre ya JK miradi ingechukua miaka hata 30 kukamilika
Mavii !wao ndo naniMbona mlisema wamachinga hawawezi kuguswa?
Wakaguse na kariakoo, pia ile barabara ya uhuru toka kariakoo kwenda karume ni shida tupu
Anhaa sawasawa, majina huwa yananichanganya.
Dar ilikua inachukiza sana aisee lakini pamoja na hayo yote ilikua inahesabika miongoni mwa majiji masafi Africa kwenye kumi bora. Saizi Dar itakimbiza vizuri sasa labda watatuzidi Kigali na Capetown tu hahahahaaa
Jiwe ndiyo chanzo cha haya yote. Jiji haliwezi kuwa kama wanaishi ng'ombe au mashetani kama alivyokuwa anataka.Lakini tukumbuke ktk shida ya ajira hao machinga ambao Leo mnafurahia kuwa wamefukuzwa mjini ni vijana graduates ambao wamekosa ajira hawajapenda kupanga vitu barabarani ila ni maisha ....mpango mzima wa hili swala sijaona ukizungumza ni jinsi watawasaidia Hawa machinga warudi ktk hali yao ya kawaida.....Sasa wanaugulia maumivu makali ya kiuchumi na tukumbuke wengine wanafamilia.....na hapo hapo wanasiasa wanazungumza watu wajiajiri .....nyinyi ambao mnafurahia mji kuwa msafi pengine mna ajira zenu maofisini lakn hamuangalii maumivu wanayopitia wenzenu ...jadirini ni kivipi serikari itapunguza tatizo la ajira...kwani magufuri alikuwa ajui kuwa mji ni mchafu alikuwa anajiuliza wanaenda wapi...mnafurahia lakn hamjui impact yake inaweza kuongeza ualifu.....
Mwenyeshida naojamani ila kwakweli wamekosea kidogo hao machinga kuwapeleka nje ya jiji nani atafika huko?
Hivi si ndiye alikuwa anawalamba shaba wanaompinga [emoji848]Akili mingi sana we jamaa.
Chuma bana huhitaji darubini kuona alichokifanya.Mtu na nusu
Kwani si wamesema waende maeneo rasmi yaliyotengwa au ni sound tu?Lakini tukumbuke ktk shida ya ajira hao machinga ambao Leo mnafurahia kuwa wamefukuzwa mjini ni vijana graduates ambao wamekosa ajira hawajapenda kupanga vitu barabarani ila ni maisha ....mpango mzima wa hili swala sijaona ukizungumza ni jinsi watawasaidia Hawa machinga warudi ktk hali yao ya kawaida.....Sasa wanaugulia maumivu makali ya kiuchumi na tukumbuke wengine wanafamilia.....na hapo hapo wanasiasa wanazungumza watu wajiajiri .....nyinyi ambao mnafurahia mji kuwa msafi pengine mna ajira zenu maofisini lakn hamuangalii maumivu wanayopitia wenzenu ...jadirini ni kivipi serikari itapunguza tatizo la ajira...kwani magufuri alikuwa ajui kuwa mji ni mchafu alikuwa anajiuliza wanaenda wapi...mnafurahia lakn hamjui impact yake inaweza kuongeza ualifu.....
"Pang'ang'a", hiki ni kimatumbi chetu au.....hapa umeniacha njani Jumbe.Amos Makalla anaupiga mwingi haswa.......
Kitu kimoja wengi wasichokijua ni kuwa mh.Mkuu wa mkoa ana hulka ya "USIKIVU SANA"...KUJISHUSHA SANA....na UTEKELEZAJI MKUBWA na si "pang'ang'a"
Kongole kwake [emoji123][emoji106]
Siempre JMT
Lady.....maduka mbona yapooo shida n'nini sasa?, na hata hivyo huna shida ukiwa ma shida ya huko utafika tu.jamani ila kwakweli wamekosea kidogo hao machinga kuwapeleka nje ya jiji nani atafika huko?
Alaaaa!Ukiacha kilimo cha muhogo ule unaoitwa udaga, kuna kilimo cha magimbi ambacho Burundi na congo wanahitaji mwaka mzima