weka pichaAli Kiba sio mtu wakupenda kiki Tu, lakini mjengo wake Samatta atasubiri sana
Mkuu, mleta uzi anamuongelea Mbwana Samatta na sio hao unaomlinganisha nao, huyu sio aina ya hao!Hongera zake tusubiri Diamond atamjibu nini.
embu tuwekee mjengo wa ali kiba tuuoneAli Kiba sio mtu wakupenda kiki Tu, lakini mjengo wake Samatta atasubiri sana
inawezekana huo ni wa familia may be wa kwake utakuwa masaki au mbezi beachMbona ameenda kujenga mbali? Ameshindwa kumkata mtama mtu bahari beach,ununio?
Wow Wow Wow so nice! Hongerah sana Mbwana SamataKatika pita pita zangu nikaambiwa huo ndo mjengo wa shujaa wa football TZ a.k.a Mbwana Samatha.
Lakini jamaa anakipiga tu huko Belgium hana hata sifa za kukirusha kitu chake kipya baada ya kuivunja nyumba yake ya awali iliyokuwepo eneo hilo la kisarawe II Kigamboni.
View attachment 452717
Domo ye alikuaga anaosha na v8 ya chief kiumbe baadae akanyang'anywa bfr hapo alikua anatumia bmw x6 ya demu wake wema siku manzi amenyang'anywa na mkongo Domo akarudi kwenyd prado yake model ya 2004 hahah.Ila sa hivi anatuzuga eti atanunua royce rolls.
Kwahiyo kafilisika.?Siku akinunua hyo gari anafilisika kabisaaaaa