Hongera Samatha Mbwana kwa kujenga nyumba

Kawaambia muweke mjengo wake mtandaoni?, wemgine hawapendi muanike mambo yao mitandaoni hata kama ni watu mashuhuri.

Katika pitapita zako ukaambiwa eti mjengo ni wa mtu fulani, una uhakika gani kama taarifa ni za kweli?

Kama ni kweli na ametaka tulijue hilo hongera kwake.
 
Hongera kwako Mbwana Samatha,
hivi hiki ndo kile alichopewa na serikali au?
 
Wow Wow Wow so nice! Hongerah sana Mbwana Samata
 

Ila kanunua mwisho wa siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…