Asieumba haumbui.Kwenye iyo picha aliempaka makeup amshuru sana.Kwakweli kapambana mno mpaka sura walau kuonekana ina mvuto.
Sawa mkuuNdiyo.
Ninalo hili na lile
Mbona kafanya kitu,kama msukuma na ujinga wake wote,Babu tale eti nao wamepata PhD ,lakin Kuna vyuo vya kijinga sana dunia hii ๐๐msukuma na ujinga wake wote kwel phd
Walikua washatuingiza chakaaa kesho kutwa angekua mkuu wa wilaya wanasema ss tumesoma sana kumbe ndo hz buying univeAhaa kumbe ni chuo cha BibliaView attachment 3134431
anastahili๐
Kwaio mpaka makeup anaumba au anaumbua?Asieumba haumbui.
Muulize.Kwaio mpaka makeup anaumba au anaumbua?