Hongera sana Feisal Salum (fei toto), umeonyesha kwamba wewe ni mchezaji muhimu sana, na umeonyesha kwamba unapaswa ucheze kwa dk 80 ama 90

Hongera sana Feisal Salum (fei toto), umeonyesha kwamba wewe ni mchezaji muhimu sana, na umeonyesha kwamba unapaswa ucheze kwa dk 80 ama 90

Ahyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2019
Posts
2,310
Reaction score
5,482
Huyu mchezaji anakipaji kikubwa sana cha mpira wa miguu,

ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza presha ya timu uwanjani,

ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza na kuifanya timu imiliki eneo la kiungo,

ikumbukwe kwamba ana uwezo wa kucheza namba 6, 8 na 10

Ukimtoa tu na kumuweka benchi basi ujue dimba la kati linatoboka

Jamaa akiwa uwanjani anafukia fukia mashimo yote pale kati... Akitoka tu hesabu maumivu

Na ndio kilichotokea leo kwenye game ya Tanzania vs Zambia
 
Umeangalia mpira au ulikuwa unasikiliza kwenye redio?
Huyu mchezaji anakipaji kikubwa sana cha mpira wa miguu,

ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza presha ya timu uwanjani,

ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza na kuifanya timu imiliki eneo la kiungo,

ikumbukwe kwamba ana uwezo wa kucheza namba 6, 8 na 10

Ukimtoa tu na kumuweka benchi basi ujue dimba la kati linatoboka

Jamaa akiwa uwanjani anafukia fukia mashimo yote pale kati... Akitoka tu hesabu maumivu

Na ndio kilichotokea leo kwenye game ya Tanzania vs Zambia
 
Unataka kusema kuwa kwenye mechi dhidi ya Morocco alipoingia Feisal, akafukia mashimo na Taifa stars ikaishia tu kwa kufungwa goli moja?
 
Huyu mchezaji anakipaji kikubwa sana cha mpira wa miguu,

ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza presha ya timu uwanjani,

ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza na kuifanya timu imiliki eneo la kiungo,

ikumbukwe kwamba ana uwezo wa kucheza namba 6, 8 na 10

Ukimtoa tu na kumuweka benchi basi ujue dimba la kati linatoboka

Jamaa akiwa uwanjani anafukia fukia mashimo yote pale kati... Akitoka tu hesabu maumivu

Na ndio kilichotokea leo kwenye game ya Tanzania vs Zambia
Umetumwa na MAMA nini?
 
Unataka kusema kuwa kwenye mechi dhidi ya Morocco alipoingia Feisal, akafukia mashimo na Taifa stars ikaishia tu kwa kufungwa goli moja?
Kati palitulia, mipira ya Morocco ilikuwa inapitia pembeni,
 
Huyu mchezaji anakipaji kikubwa sana cha mpira wa miguu,

ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza presha ya timu uwanjani,

ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza na kuifanya timu imiliki eneo la kiungo,

ikumbukwe kwamba ana uwezo wa kucheza namba 6, 8 na 10

Ukimtoa tu na kumuweka benchi basi ujue dimba la kati linatoboka

Jamaa akiwa uwanjani anafukia fukia mashimo yote pale kati... Akitoka tu hesabu maumivu

Na ndio kilichotokea leo kwenye game ya Tanzania vs Zambia
Asingefanyiwa Fauls zilizomchosha angesaidia kiungo Hadi mwisho.

Ila Stars bila Baka ,hatuna timu
 
Kwa mara nyingine tena nimeshuhudia mpira wa Kisukuma,baada ya miaka mingi sana.
 
Una chuki na Feisal ama pengine humpendi tu
Hapana, Feisal Hana nguvu, Hana Kasi, Yuko slow sijajua Feisal katika mechi zote mbili alizocheza alikua Bora katika Nini!!

Leo nime mwona Himid Mao na Muzamiru walikua Bora katika kuzuia na kusaidia kuziba nafasi.

Kazi zote alizotakiwa afanye Feisal amezifanya Samata.
Samata Leo amecheza kama mchezaji mkubwa, anarudi kuchukua mpira na kuchezesha timu.
Feisal anakipaji lakini Yuko Chini Sana ki uwezo kuliko michuano ya AFCON Inavyo taka.
 
Hapana, Feisal Hana nguvu, Hana Kasi, Yuko slow sijajua Feisal katika mechi zote mbili alizocheza alikua Bora katika Nini!!

Leo nime mwona Himid Mao na Muzamiru walikua Bora katika kuzuia na kusaidia kuziba nafasi.

Kazi zote alizotakiwa afanye Feisal amezifanya Samata.
Samata Leo amecheza kama mchezaji mkubwa, anarudi kuchukua mpira na kuchezesha timu.
Feisal anakipaji lakini Yuko Chini Sana ki uwezo kuliko michuano ya AFCON Inavyo taka.
Ni kweli hana kasi, na hana nguvu lakini huwa ni mzuri sana kwenye kutuliza timu na timu ikawa inacheza bila presha, lakini alipotoka katikati palipwaya kabisa mipira ikawa haitulii ikifika tayari ipo kwa adui
 
Back
Top Bottom