Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CDM, wala LISU, umaarufu wao hauwezi kufa kwani wafuasi wao bado watakuwa na itikadi zao mioyoni!! Unaweza kuua vyama au mtu lakini huwezi kuua itikadi!! Sema kuna umaarufu mwingine unampatia mtu bila wewe kujua, ukidhania kuwa una mkomoa!!! Lisu licha ya kuwa mwanasiasa ni mwanaharakati kindakindaki hasa!! Akisimama jukwaani kwa siasa zetu hizi, ni vigumu sana kwa mlengo mwingine kuvumilia, kwani mala nyingi anaongea facts ambazo kuzijibu lazima utulie, sasa upande ule mwingine lazima tu watauita UCHOCHEZI!! Na hapo sasa ndio mvulugano na polisi utaanza, itaonekana anaonewa!! Kuna lundo la kesi linalomsubilia mahakamani!! NI MUDA AMBAO BUSARA ZAIDI INATAKIWA. au waamue tu kumuacha kwanza uchaguzi uishe ndio hayo mambo mengine yafuate tena kwa kuonyesha haki inatendeka. Kwani kwenye kampeni ni muda wa mambo mengiAngalizo.
Kuna mfano hai wa mtu aliyewahi kushabikiwa na watu hapa Tz. Askari wakawa wanazuia hata jambo dogo kama kubebwa kwake, Nyerere akaagiza askari waachane naye wafanye watakavyo ila wasivunje sheria.
Hakubebwa tena na umaarufu ukakata.
Askari wakiendelea na approach hii CDM na Lisu umaarufu wao utakufa natural death.
Nahisi hivyo.
Kabisa naunga mkono hoja,mkuu wa mkoa ameonesha alivyo kuwa anajielewaAsubuhi nilitoa mada yenye kichwa "Tunasubiri kuona busara ya jeshi la polisi wakati wa kurejea kwa Lissu"
Niseme wazi kwa mara ya kwanza jeshi la polisi limetumia busara kubwa kutozuia na kuingilia mapokezi ya Tundu Lissu.
Hiki ndicho wengi tulikuwa tuna kitaka. Polisi wakijiweka kando katika shughuli za kisiasa na kijamii huwa hakuna vurugu wala madhara mpaka pale wao wanapofika na mabomu yao, virungu na bunduki kuanza kutumia nguvu kwenye dhughuli zisizo kuwa na vurugu.
Kwakweli kuna haja ya jeshi kuendelea na utamaduni huu. Waacheni watu wafanye shughuli zao za kulia na kucheka bila kuwaingilia kwa kisingizio cha mikusanyiko.
Kwa muda mrefu polisi na CDM wamekuwa kama wake wenza wanao gombea mume kila siku vitisho na ugomvi polisi wakiwa ndio chanzo. Polisi kwa leo mmeonesha busara kwa mara ya kwanza.
Namsifu pia mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam kwa busara kubwa aliyo ionesha kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa. Ingekuwa ni yule bwana masifuri leo ingekuwa ni vilio na kusaga meno. Well done!
Kuna angalizo kutoka UN kwa vyombo vyake limevuja...PolCCM ikabidi waufyate
Masifuri Ziiiiii😀Asubuhi nilitoa mada yenye kichwa "Tunasubiri kuona busara ya jeshi la polisi wakati wa kurejea kwa Lissu"
Niseme wazi kwa mara ya kwanza jeshi la polisi limetumia busara kubwa kutozuia na kuingilia mapokezi ya Tundu Lissu.
Hiki ndicho wengi tulikuwa tuna kitaka. Polisi wakijiweka kando katika shughuli za kisiasa na kijamii huwa hakuna vurugu wala madhara mpaka pale wao wanapofika na mabomu yao, virungu na bunduki kuanza kutumia nguvu kwenye dhughuli zisizo kuwa na vurugu.
Kwakweli kuna haja ya jeshi kuendelea na utamaduni huu. Waacheni watu wafanye shughuli zao za kulia na kucheka bila kuwaingilia kwa kisingizio cha mikusanyiko.
Kwa muda mrefu polisi na CDM wamekuwa kama wake wenza wanao gombea mume kila siku vitisho na ugomvi Polisi wakiwa ndio chanzo. Polisi kwa leo mmeonesha busara kwa mara ya kwanza.
Namsifu pia mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam kwa busara kubwa aliyoionesha kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa. Ingekuwa ni yule bwana masifuri leo ingekuwa ni vilio na kusaga meno. Well done!
Mbadala tusifie Nguvu ya UMMA nnawasifia vegetable policeAsubuhi nilitoa mada yenye kichwa "Tunasubiri kuona busara ya jeshi la polisi wakati wa kurejea kwa Lissu"
Niseme wazi kwa mara ya kwanza jeshi la polisi limetumia busara kubwa kutozuia na kuingilia mapokezi ya Tundu Lissu.
Hiki ndicho wengi tulikuwa tuna kitaka. Polisi wakijiweka kando katika shughuli za kisiasa na kijamii huwa hakuna vurugu wala madhara mpaka pale wao wanapofika na mabomu yao, virungu na bunduki kuanza kutumia nguvu kwenye dhughuli zisizo kuwa na vurugu.
Kwakweli kuna haja ya jeshi kuendelea na utamaduni huu. Waacheni watu wafanye shughuli zao za kulia na kucheka bila kuwaingilia kwa kisingizio cha mikusanyiko.
Kwa muda mrefu polisi na CDM wamekuwa kama wake wenza wanao gombea mume kila siku vitisho na ugomvi Polisi wakiwa ndio chanzo. Polisi kwa leo mmeonesha busara kwa mara ya kwanza.
Namsifu pia mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam kwa busara kubwa aliyoionesha kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa. Ingekuwa ni yule bwana masifuri leo ingekuwa ni vilio na kusaga meno. Well done!
Kabisaa hapa jama walipiga hesabu wakaona hasara ni nyingi kuliko faidaa...Tusijidanganye,hawa majamaa waliona kuna viongozi wa kimataifa kwa ajili ya huu msiba wakaona heri wasifanye vurugu ikaleta picha mbaya
Kabisaa hapa jama walipiga hesabu wakaona hasara ni nyingi kuliko faidaa...
Wwe jamaa upo dunia ipi? Wale wajumbe wa kigamboni wamesha panda hadhi Sasa hivi wanaitwa WAJUMBE WA TAIFA.Sote tunajua Jeshi la Police lina weredi, na ukitaka kuhakikisha we ongea na askari mmoja mmoja uone comments zao utashangaa!! Tatizo ni hawa wanasiasa....ila asante WAJUMBE wa Kigamboni amani na iwe kwenu....kazi mliyoifanya ni kubwa mno.
Nafikiri angekuwepo leo asingekubali pua ya mwana CHADEMA isogee pale airport. Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine maana airport ingegeuka uwanja wa vita
Hii ndiyo Tanzania tunayoitaka!!
Jamaa lazima wampeleke mahakamani wee ngoja tuu...!!Subiri msiba uishe,figisu ataanzishiwa Lissu
Chomoa ukimbie ukamwambie hapa hakusikii kama mke wake unamteteea..!!Naona cha bashite kimenasa na kimefima kutoka
Makonda amekosea mengi na kufanya mazuri mengi.Namsifu pia mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam kwa busara kubwa aliyoionesha kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa. Ingekuwa ni yule bwana masifuri leo ingekuwa ni vilio na kusaga meno. Well done!
Nawapongeza jeshi letu la Polisi.Asubuhi nilitoa mada yenye kichwa "Tunasubiri kuona busara ya jeshi la polisi wakati wa kurejea kwa Lissu"
Niseme wazi kwa mara ya kwanza jeshi la polisi limetumia busara kubwa kutozuia na kuingilia mapokezi ya Tundu Lissu.
Hiki ndicho wengi tulikuwa tuna kitaka. Polisi wakijiweka kando katika shughuli za kisiasa na kijamii huwa hakuna vurugu wala madhara mpaka pale wao wanapofika na mabomu yao, virungu na bunduki kuanza kutumia nguvu kwenye dhughuli zisizo kuwa na vurugu.
Kwakweli kuna haja ya jeshi kuendelea na utamaduni huu. Waacheni watu wafanye shughuli zao za kulia na kucheka bila kuwaingilia kwa kisingizio cha mikusanyiko.
Kwa muda mrefu polisi na CDM wamekuwa kama wake wenza wanao gombea mume kila siku vitisho na ugomvi Polisi wakiwa ndio chanzo. Polisi kwa leo mmeonesha busara kwa mara ya kwanza.
Namsifu pia mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam kwa busara kubwa aliyoionesha kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa. Ingekuwa ni yule bwana masifuri leo ingekuwa ni vilio na kusaga meno. Well done!
Sio umati, ni aibu kutembeza mitama wakati wa msiba na ingekuwa ni credit ya maana sana kiasiasa upande wa pili. Dunia nzima itatushangaa, hujui tu jiwe ilivyomuuma.Busara, au walizidiwa na kushangazwa na umati ule?!
Asubuhi nilitoa mada yenye kichwa "Tunasubiri kuona busara ya jeshi la polisi wakati wa kurejea kwa Lissu"
Niseme wazi kwa mara ya kwanza jeshi la polisi limetumia busara kubwa kutozuia na kuingilia mapokezi ya Tundu Lissu.
Hiki ndicho wengi tulikuwa tuna kitaka. Polisi wakijiweka kando katika shughuli za kisiasa na kijamii huwa hakuna vurugu wala madhara mpaka pale wao wanapofika na mabomu yao, virungu na bunduki kuanza kutumia nguvu kwenye dhughuli zisizo kuwa na vurugu.
Kwakweli kuna haja ya jeshi kuendelea na utamaduni huu. Waacheni watu wafanye shughuli zao za kulia na kucheka bila kuwaingilia kwa kisingizio cha mikusanyiko.
Kwa muda mrefu polisi na CDM wamekuwa kama wake wenza wanao gombea mume kila siku vitisho na ugomvi Polisi wakiwa ndio chanzo. Polisi kwa leo mmeonesha busara kwa mara ya kwanza.
Namsifu pia mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam kwa busara kubwa aliyoionesha kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa. Ingekuwa ni yule bwana masifuri leo ingekuwa ni vilio na kusaga meno. Well done!
Hahaha sasa huyo jiwe anaumia nini, msiba wa ccm hauwahusu Chadema.Sio umati, ni aibu kutembeza mitama wakati wa msiba na ingekuwa ni credit ya maana sana kiasiasa upande wa pili. Dunia nzima itatushangaa, hujui tu jiwe ilivyomuuma.