Hongera sana Jeshi la Polisi kwa kutumia busara kubwa badala ya nguvu

Hongera sana Jeshi la Polisi kwa kutumia busara kubwa badala ya nguvu

Wengi tulishauri hii approach hata kabla Siro hajateuliwa kua IGP. Because overtime watu huchoka na watakosa cha kuongea, mfano leo hakuna cha kuongea kabisa
The best approach ever hata kesho wakiwa na msafara wa kuelekea msibani waachwe tu waandamane kwenda msibani ikiwezekana wao ndo watoe hotuba badala ya mkuu wa nchi
 
The best approach ever hata kesho wakiwa na msafara wa kuelekea msibani waachwe tu waandamane kwenda msibani ikiwezekana wao ndo watoe hotuba badala ya mkuu wa nchi
Tukubaliane kuwa approach ya Polisi ndiyo imekuwa chanzo cha matatizo. Hivi pale Ukonga gerezani wangewaacha Halima, Ester na wenzake walivyoenda kumlaki Mbowe wafanye kilichowapeleka, unadhani kungekuwa na matatizo? Lakini wakawapiga, wakawaburuta, wakawakanyaga hata wakamvunja Halima mkono. Leo walishauriwa na mtu mzima kutumia busara. Hata sasa kama watatulia, tutakuwa na uchaguzi wa amani ingawa usio huru wala wa haki. Safari hii ni zaidi ya goli la mkono. Lakini angalao basi kuwe na amani. Polisi jamani....eh!
 
Mshukuru mungu wako magufuli kumtumbua makonda na mungu huyo huyo unaetakiwa umshukuru kampa mawazo mazuri magufuli kumteuwa RC mwingine anajielewa na mpenda haki sio mpenda sifa
 
Tukubaliane kuwa approach ya Polisi ndiyo imekuwa chanzo cha matatizo. Hivi pale Ukonga gerezani wangewaacha Halima, Ester na wenzake walivyoenda kumlaki Mbowe wafanye kilichowapeleka, unadhani kungekuwa na matatizo? Lakini wakawapiga, wakawaburuta, wakawakanyaga hata wakamvunja Halima mkono. Leo walishauriwa na mtu mzima kutumia busara. Hata sasa kama watatulia, tutakuwa na uchaguzi wa amani ingawa usio huru wala wa haki. Safari hii ni zaidi ya goli la mkono. Lakini angalao basi kuwe na amani. Polisi jamani....eh!
Hawa mbuzimawe hatakuelewa. Ukiangalia muanzisha uzi anajenga hoja kuwa wanaofanya fujo ni wafuasi wa chadema. Mbona leo walikuwa lukuki bila polisi lakini hata sisimizi hawakuguswa? Kwahiyo catalyst ni polisi. Mkifikiri kutowapeleka polisi kwenye msafara ni kuuanika ukorofi wa chadema, mmeonesha dunia kuwa tatizo na hao polisi wanaobeba ilani ya ccm mkono mmoja na mwingine bunduki. Kwahiyo bakini na aibu muendelee kulianika jeshi la polisi jinsi linavyotumika kisiasa, hasa siasa za ccm. Hali ikiachwa hivi, ccm inaenda kupotea mazima kwasababu hakuna atakayekwenda kusikiliza SGR Ndege na Stigler's ambayo imehubiriwa miaka 5 hadi imechosha watu. Watu wanayo shauku ya kusikia mapya juu ya unafiki na ulaghai wa ccm na jinsi ya kuondokana na hayo kuelekea ukombozi wa kweli kifikra na uhuru wa katika myoyo ya watu.
 
Walitegemea atakamatwa ili watengeneze tamthilia ya kuhalalisha maneno

Yaliyotokea leo ni pigo kubwa kwa Mabeberu mawakala wao

Serikali iwaache hawa mawakala kwa miezi hii mitatu wajimwage ikiwezekana wawe wanaandamana kila siku

Isiwaguse wala kuwabughuzi kwa lolote lile mpaka uchaguzi utakapoisha nina uhakika watatoa ushindani lakini hawatashinda

Mambo yaanze mapema baada ya uchaguzi kupita sasa kesi zianze kurindima

Hili ni pigo takatifu kwa Mabeberu na mawakala wao hawajaamini kilichotokea they are speechless, wamepigwa mapigo matakatifu

Umeongea upuuzi mtupu! TL ni Mtanzania mwenzetu. Alinusurika kifo ktk nchi yake ya asili. Mungu mwenye nguvu kauaibisha uovu wenu.

Sasa TL karudi hai, badala ya kuingiwa na utu mnajiachia wazi part yenu ya uhayawani iropoke kila neno uvu.

Subirini kipigo cha Mwenyezi Mungu ndio mtaelewa mwenye sauti ya mwisho hasa ni nani.
 
Walitegemea atakamatwa ili watengeneze tamthilia ya kuhalalisha maneno

Yaliyotokea leo ni pigo kubwa kwa Mabeberu mawakala wao

Serikali iwaache hawa mawakala kwa miezi hii mitatu wajimwage ikiwezekana wawe wanaandamana kila siku

Isiwaguse wala kuwabughuzi kwa lolote lile mpaka uchaguzi utakapoisha nina uhakika watatoa ushindani lakini hawatashinda

Mambo yaanze mapema baada ya uchaguzi kupita sasa kesi zianze kurindima

Hili ni pigo takatifu kwa Mabeberu na mawakala wao hawajaamini kilichotokea they are speechless, wamepigwa mapigo matakatifu
Shetani umeshindwa juzi ulitutisha sana ooh mtavunjwa mifupa lep lugha imebadilika??
Aibuuuuu yako
 
Umeongea upuuzi mtupu! TL ni Mtanzania mwenzetu. Alinusurika kifo ktk nchi yake ya asili. Mungu mwenye nguvu kauaibisha uovu wenu.

Sasa TL karudi hai, badala ya kuingiwa na utu mnajiachia wazi part yenu ya uhayawani iropoke kila neno uvu.

Subirini kipigo cha Mwenyezi Mungu ndio mtaelewa mwenye sauti ya mwisho hasa ni nani.
Jana tu jamaa kaleta mabandiko ya vitisho eti watatuvunja mifupa tukienda kumpokea. Sasa tumeenda na tumerudi salama. Naona anageuza kibao. Sijui alikuwa wapi.
 
The best approach ever hata kesho wakiwa na msafara wa kuelekea msibani waachwe tu waandamane kwenda msibani ikiwezekana wao ndo watoe hotuba badala ya mkuu wa nchi
Naona umenawa Mikono. 😆😅na bado! Vile vitisho vyako juzi utadhani sio wewe yaani.

Umekuwa mpole kama kuku mwenye Mdondo.
 
The best approach ever hata kesho wakiwa na msafara wa kuelekea msibani waachwe tu waandamane kwenda msibani ikiwezekana wao ndo watoe hotuba badala ya mkuu wa nchi
CCM wakati mwingine duuu,kwani msibani kuna hotuba??Hapo ni salaam za rambirambi na sio lazima mkuu aongee....
 
Walitegemea atakamatwa ili watengeneze tamthilia ya kuhalalisha maneno

Yaliyotokea leo ni pigo kubwa kwa Mabeberu mawakala wao

Serikali iwaache hawa mawakala kwa miezi hii mitatu wajimwage ikiwezekana wawe wanaandamana kila siku

Isiwaguse wala kuwabughuzi kwa lolote lile mpaka uchaguzi utakapoisha nina uhakika watatoa ushindani lakini hawatashinda

Mambo yaanze mapema baada ya uchaguzi kupita sasa kesi zianze kurindima

Hili ni pigo takatifu kwa Mabeberu na mawakala wao hawajaamini kilichotokea they are speechless, wamepigwa mapigo matakatifu
Leo unahangaika sana, wewe ndiye uliyesema akifika tu atakamatwa, saa hizi unasema nini tena.

Kutokutiwa nguvuni Tundu Lissu kesho 27/7/2020 ni kutangaza uasi juu ya Sheria za Nchi yetu
 
Hapa wa kupongezwa ni Rais Magufuli majuzi aliwambia Polisi wasitumie nguvu hovyo hovyo na wananchi msiwachokoze askari. Hongera Rais.
 
Walitegemea atakamatwa ili watengeneze tamthilia ya kuhalalisha maneno

Yaliyotokea leo ni pigo kubwa kwa Mabeberu mawakala wao

Serikali iwaache hawa mawakala kwa miezi hii mitatu wajimwage ikiwezekana wawe wanaandamana kila siku

Isiwaguse wala kuwabughuzi kwa lolote lile mpaka uchaguzi utakapoisha nina uhakika watatoa ushindani lakini hawatashinda

Mambo yaanze mapema baada ya uchaguzi kupita sasa kesi zianze kurindima

Hili ni pigo takatifu kwa Mabeberu na mawakala wao hawajaamini kilichotokea they are speechless, wamepigwa mapigo matakatifu
Unaundugu na pepo mchafu?
 
Walitegemea atakamatwa ili watengeneze tamthilia ya kuhalalisha maneno

Yaliyotokea leo ni pigo kubwa kwa Mabeberu mawakala wao

Serikali iwaache hawa mawakala kwa miezi hii mitatu wajimwage ikiwezekana wawe wanaandamana kila siku

Isiwaguse wala kuwabughuzi kwa lolote lile mpaka uchaguzi utakapoisha nina uhakika watatoa ushindani lakini hawatashinda

Mambo yaanze mapema baada ya uchaguzi kupita sasa kesi zianze kurindima

Hili ni pigo takatifu kwa Mabeberu na mawakala wao hawajaamini kilichotokea they are speechless, wamepigwa mapigo matakatifu
Ndani ya serikali kuna watu wamesoma na wanajua kusoma alama za nyakati. Mara nyingi serikali kwa kutumia polisi ndio inayosababisha vurugu kutokea. Leo ilikuwa hakuna namna yoyote ya kufanya figisu figisu. Mzee baba ameliona hilo na hakukuwa na namna zaidi ya kukubali matokeo, hata ukiangalia sura yake leo utajua kutofautisha kati ya hasira na majonzi.
 
Walitegemea atakamatwa ili watengeneze tamthilia ya kuhalalisha maneno

Yaliyotokea leo ni pigo kubwa kwa Mabeberu mawakala wao

Serikali iwaache hawa mawakala kwa miezi hii mitatu wajimwage ikiwezekana wawe wanaandamana kila siku

Isiwaguse wala kuwabughuzi kwa lolote lile mpaka uchaguzi utakapoisha nina uhakika watatoa ushindani lakini hawatashinda

Mambo yaanze mapema baada ya uchaguzi kupita sasa kesi zianze kurindima

Hili ni pigo takatifu kwa Mabeberu na mawakala wao hawajaamini kilichotokea they are speechless, wamepigwa mapigo matakatifu
Wewe si ndiye ulikuwa unashabikia Chadema wapigwe mpaka wachakae pindi wakienda kumpokea Lissu? Watu sampuli yenu ndiyo mnasababisha watu waichukie Serikali na CCM,
 
Back
Top Bottom