Hongera sana Jeshi la Polisi kwa kutumia busara kubwa badala ya nguvu

Hongera sana Jeshi la Polisi kwa kutumia busara kubwa badala ya nguvu

Kumbe elimu ndogo na kutumia vyeti bandia madhara yako wazi tu
 
Walitegemea atakamatwa ili watengeneze tamthilia ya kuhalalisha maneno

Yaliyotokea leo ni pigo kubwa kwa Mabeberu mawakala wao

Serikali iwaache hawa mawakala kwa miezi hii mitatu wajimwage ikiwezekana wawe wanaandamana kila siku

Isiwaguse wala kuwabughuzi kwa lolote lile mpaka uchaguzi utakapoisha nina uhakika watatoa ushindani lakini hawatashinda

Mambo yaanze mapema baada ya uchaguzi kupita sasa kesi zianze kurindima

Hili ni pigo takatifu kwa Mabeberu na mawakala wao hawajaamini kilichotokea they are speechless, wamepigwa mapigo matakatifu
Wee jinga la lumumba si ndio ulikuja na uzi hapa eti upo viunga vya airport hakuna mtu hata mmoja..
Pole kwa kuumbuka punga wewee..
AIBU YAKO..SHAME ON YOU..
 
Polisi ni kama mbwa ndani ya geti anasubilia muongozo wa mwenye mbwa akiambiwa shika anakuja akiambiwa acha ana acha, tumpongeze mh rais tu kwakutambua ukweli kuwa siasa za chuki visasi na ujinga ujinga uliokuwa unafanywa na bashite umemchafua sana na watanzania wameingiwa nyongo na serikali, akitaka amini ngoja kampeni zianze na kisiwe na utumiaji wa mabavu ndio atajua kumbe zile nyimbo nk ilikuwa nikujipendekeza tu kwake
 
Hiki ndicho wengi tulikuwa tuna kitaka. Polisi wakijiweka kando katika shughuli za kisiasa na kijamii huwa hakuna vurugu wala madhara mpaka pale wao wanapofika na mabomu yao, virungu na bunduki kuanza kutumia nguvu kwenye dhughuli zisizo kuwa na vurugu
Hivi unajua maana ya polis? Huyu aliyetaka kuharibu taswira ya polis amejiharibu yeye zaidi
 
Angalizo.

Kuna mfano hai wa mtu aliyewahi kushabikiwa na watu hapa Tz. Askari wakawa wanazuia hata jambo dogo kama kubebwa kwake, Nyerere akaagiza askari waachane naye wafanye watakavyo ila wasivunje sheria.

Hakubebwa tena na umaarufu ukakata.

Askari wakiendelea na approach hii CDM na Lisu umaarufu wao utakufa natural death.

Nahisi hivyo.
Kinyonga
 
Mbadala tusifie Nguvu ya UMMA nnawasifia vegetable police
Unadhani nguvu ya unaoita uma ingefanyaje kama wangeamua isiingie airport??

Nendeni mnaandamana naye mpaka taifa na matishirt yenu,mkifika getini mseme mnaenda kuaga marehem,halafu mlete mrejesho wa nguvu ya uma.
 
Tusijidanganye,hawa majamaa waliona kuna viongozi wa kimataifa kwa ajili ya huu msiba wakaona heri wasifanye vurugu ikaleta picha mbaya
Mhh sio kweli.

Vurugu ingetokeaje,wakati hata mikusanyiko ingepewa alart.
 
Unadhani nguvu ya unaoita uma ingefanyaje kama wangeamua isiingie airport??

Nendeni mnaandamana naye mpaka taifa na matishirt yenu,mkifika getini mseme mnaenda kuaga marehem,halafu mlete mrejesho wa nguvu ya uma.
Jana hukuona kulikuwa na wana ccm tena makofia hawakuvuliwa ila waliovaa Sofia za kawaida walivuliwa acheni double standard na hayo ndo yanayoleta chuki kwenye jamii
 
Walitegemea atakamatwa ili watengeneze tamthilia ya kuhalalisha maneno

Yaliyotokea leo ni pigo kubwa kwa Mabeberu mawakala wao

Serikali iwaache hawa mawakala kwa miezi hii mitatu wajimwage ikiwezekana wawe wanaandamana kila siku

Isiwaguse wala kuwabughuzi kwa lolote lile mpaka uchaguzi utakapoisha nina uhakika watatoa ushindani lakini hawatashinda

Mambo yaanze mapema baada ya uchaguzi kupita sasa kesi zianze kurindima

Hili ni pigo takatifu kwa Mabeberu na mawakala wao hawajaamini kilichotokea they are speechless, wamepigwa mapigo matakatifu
Unaongelea mabeberu hawa wa ccm??
 
Hakuna sifa kwa Polisi wala mkuu wa mkoa wala nini,tusiwe wanafiki,tuusimamie ukweli tu,mtoa amri na mwenye mamlaka ya kuzuia kila kitu cha wapinzani ni yule aliye kwenye kiti cha kifalme(Amri toka juu)kwisha jiwe kasoma alama kaamua kuwakaza wamwache LiSSU japo kwa sasa tu.
 
Unadhani nguvu ya unaoita uma ingefanyaje kama wangeamua isiingie airport??

Nendeni mnaandamana naye mpaka taifa na matishirt yenu,mkifika getini mseme mnaenda kuaga marehem,halafu mlete mrejesho wa nguvu ya uma.
Ndo najiandaa kwenda kumuaga Baba mdogo wa Taifa
 
Jana hukuona kulikuwa na wana ccm tena makofia hawakuvuliwa ila waliovaa Sofia za kawaida walivuliwa acheni double standard na hayo ndo yanayoleta chuki kwenye jamii
Wewe kaa ukiangalia chuki,vaa kofia yako ukifika pale goma kuvua.
 
Wewe kaa ukiangalia chuki,vaa kofia yako ukifika pale goma kuvua.
Acha vitisho Watatuvua wote maana hatuji wail tunakuja kama Jana ulivyotuona kwenye mapokezi na tutajaza uwanja
 
Acha vitisho Watatuvua wote maana hatuji wail tunakuja kama Jana ulivyotuona kwenye mapokezi na tutajaza uwanja
Mnakujaje wakati wanasiasa waalikwa wanakuja na mabasi maalum[emoji1][emoji1]

Mnakutania wapi mwende mkiandamana???
 
Siku zote polisi ndio waanzilishi wa machafuko kwemye maandamano yoyote!
Wakiamua machafuko wanaweza.
 
Asubuhi nilitoa mada yenye kichwa "Tunasubiri kuona busara ya jeshi la polisi wakati wa kurejea kwa Lissu"

Niseme wazi kwa mara ya kwanza jeshi la polisi limetumia busara kubwa kutozuia na kuingilia mapokezi ya Tundu Lissu.

Hiki ndicho wengi tulikuwa tuna kitaka. Polisi wakijiweka kando katika shughuli za kisiasa na kijamii huwa hakuna vurugu wala madhara mpaka pale wao wanapofika na mabomu yao, virungu na bunduki kuanza kutumia nguvu kwenye dhughuli zisizo kuwa na vurugu.

Kwakweli kuna haja ya jeshi kuendelea na utamaduni huu. Waacheni watu wafanye shughuli zao za kulia na kucheka bila kuwaingilia kwa kisingizio cha mikusanyiko.

Kwa muda mrefu polisi na CDM wamekuwa kama wake wenza wanao gombea mume kila siku vitisho na ugomvi Polisi wakiwa ndio chanzo. Polisi kwa leo mmeonesha busara kwa mara ya kwanza.

Namsifu pia mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam kwa busara kubwa aliyoionesha kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa. Ingekuwa ni yule bwana masifuri leo ingekuwa ni vilio na kusaga meno. Well done!
Kwa mara ya kwanza hata mimi nalipongeza jeshi la polisi hapa wametumia hekima na busara, hakuna mshindi Tanzania ni yetu sote.
 
Back
Top Bottom