mnyepe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2008
- 1,907
- 660
Joti ndio angepiga magoti
Imeandikwa wapi hio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joti ndio angepiga magoti
Imeandikwa wapi hio?
Jf.........
Huko usukumani unapigaje magoti??? Halafu hapa unachuza wenzako eeeh
View attachment 223523
Aaaahh! Joti tukio muhimu kama hilo mbona umeniangusha namna hiyo?. Hiyo Back ground ya location ya tukio kama hilo hasa kwa status yako haviendani kabisa!
Kuoa inabidi ufikirie kabla ya kufanya maamuzi manaake wanawake ndani ya nyumba wanaongea kuanzia asubuhi mpaka jioni, they don't know how to shut up hata kama unataka kuangalia mechi muhimu ya football, ukisema ukae na PC yako kuangalia nini kinaendelea kwenye JF anasema unamuignore, sasa basi ukiamua kunywa bia zako ndio kabiiisa atakwambia we kazi yako kulewa tu. Basi tabu tupu.
Mtoto msupu!!
Kuoa inabidi ufikirie kabla ya kufanya maamuzi manaake wanawake ndani ya nyumba wanaongea kuanzia asubuhi mpaka jioni, they don't know how to shut up hata kama unataka kuangalia mechi muhimu ya football, ukisema ukae na PC yako kuangalia nini kinaendelea kwenye JF anasema unamuignore, sasa basi ukiamua kunywa bia zako ndio kabiiisa atakwambia we kazi yako kulewa tu. Basi tabu tupu.
Yaah..your right Bro but it depend pia..hawa wanawake wa kukutana kweli korido za posta mpya wanasumbua sana..
She/He, Her/Him
Nimeanza english kozi kwa rasii
Ahhhahhhha hakika wewe nmwanafunzi mtiifu
Wengine hatujasoma tunaunga unga kama Dadamond
Ingekua poa kama Joti ndio angekua kapiga goti
and she is asking the lady to marry her... anyway Hongera kwao
Mmmmmh hata kama unaunga angalau umekua makini
ngoja nimalize kozi nianze kuimba....
Ingekua poa kama Joti ndio angekua kapiga goti
and she is asking the lady to marry her... anyway Hongera kwao
Kuimba nacho kipaji