Hongera sana JOTI

Kuoa inabidi ufikirie kabla ya kufanya maamuzi manaake wanawake ndani ya nyumba wanaongea kuanzia asubuhi mpaka jioni, they don't know how to shut up hata kama unataka kuangalia mechi muhimu ya football, ukisema ukae na PC yako kuangalia nini kinaendelea kwenye JF anasema unamuignore, sasa basi ukiamua kunywa bia zako ndio kabiiisa atakwambia we kazi yako kulewa tu. Basi tabu tupu.
 

pole sana....
 

Yaah..your right Bro but it depend pia..hawa wanawake wa kukutana kweli korido za posta mpya wanasumbua sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…