Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
We unaonaje????Is joti he or she
Huo ni utamaduni wa kizungu sio kila kitu lazima tuige
She/He, Her/His
Nimeanza english kozi kwa rasii
Just minor error btw siko jukwaa la lugha...
Yeah, i bet u dnt mind it, eeh
Sijamind hata...
Yaah..your right Bro but it depend pia..hawa wanawake wa kukutana kweli korido za posta mpya wanasumbua sana..
Kuoa inabidi ufikirie kabla ya kufanya maamuzi manaake wanawake ndani ya nyumba wanaongea kuanzia asubuhi mpaka jioni, they don't know how to shut up hata kama unataka kuangalia mechi muhimu ya football, ukisema ukae na PC yako kuangalia nini kinaendelea kwenye JF anasema unamuignore, sasa basi ukiamua kunywa bia zako ndio kabiiisa atakwambia we kazi yako kulewa tu. Basi tabu tupu.
Kuwa mwelewa nimesema sio kila kitu lazima tuige kuna vitu vizuri vya kuiga lakini vingine sio lazimaAnza kuvaa magome ya miti kama hivyoo
Platnum mbona anaimba mimi ntakuwa entertainer tu
kazana utatoka tu
Bora niwe jambazi kuliko kubana pua na kukata viuno kwa stage
Ingekua poa kama Joti ndio angekua kapiga goti
and he is asking the lady to marry her... anyway Hongera kwao
Hivi joti ana miaka mingapi?
nani niliona nipite kimya kimya. ila ukute ndo ukweni hapo hana jinsi
View attachment 223523
Aaaahh! Joti tukio muhimu kama hilo mbona umeniangusha namna hiyo?. Hiyo Back ground ya location ya tukio kama hilo hasa kwa status yako haviendani kabisa!
Msanii Lucas Mhuvile, almaarufu kama Joti, anayepiga kazi kwenye kampuni ya Orijino Komedi, amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi, ikiwa ni ishara na dalili njema kwamba safari ya kuelekea kwenye taasisi muhimu zaidi duniani ya NDOA imewadia..
Akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti alionekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.
Binafsi, nampongeza sana na kumtakia kila la kheri yeye pamoja na mwenza wake. Big up Joti!!!!
View attachment 223523