Hongera sana JOTI

sure mkuu hata nywele angeweka style ya heshima

Duhh! Aisee kweli, hata mimi nime overlook hilo. Lakini katika hali ya kawaida, kama asingua Joti, bali ni mtu mwengine ndio ameenda ukweni kwa staili hiyo unyoaji, mi nadhani angefurumushwa! But, Mhhhhh! mmhhhhh! Mhhhhh!
 
Kwa hiyo mnampa hongera ya kumvalisha Pete na kuendelea kuzini?
 

Aisee pole sana,walahu umetoa dukuduku lako
 
Na Harusi ni kesho Jumamosi... Kweli JF ni chimbo la mainfo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…