Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Shabani Nonda alitokea wapi.......?
Ngasa mwenyewe upuuzi wake baada ya majaribio,kaambiwa na West Hama atengeneza stamina kaja yy kuongeza mke wapili.
Ajib nae vp mkuu!Hata kama angekuwa na wakala asingeenda kokote.
Kumbuka yanga inatengeneza wachezaji mashabiki wake.Kumbuka Ngasa jinsi alivyokataa ofa kisa abaki kuipigania timu yake.
Amunike aliongea ukweli kwa Fei Toto kwamba dogo ni wa kuchezea Barcelona, bongo bahati mbaya tu.Hata kabla hajaumia, kumzuia fei ilikua lazima umchezee rafu tu! Anaupiga Mwingi Sana! Fei kuchezea soka bongo basi tu viwango vyake ni vya kimataifa!