huyu dogo amunike aliposema kuwa feisal anafaa kuwa barca, mlimuona mwehu,
Nadhani sasa mnaona namna anavyozidi kupepea, lile li lwanga lilikuwa limefichwa likawa linacheza rafu tu.. Mpaka wakalipa kadi liende nje.
Ila wacongo huwa wanatoa wapi style za kushangilia? Ni tamu sana yaani kama ile ya mayele, na yule beleke wa mazembe aliyewatundika wake zetu kimoko.. Kama sisi.