Hongera sana Mtangazaji na mchambuzi Kibwana Dachi wa Channel Ten na redio Magic FM kwa kazi nzuri

Jamaa yupo vizuri, siku asipokuwepo kipindi kinadorora ile mbaya. akina mkambala, mary na oresti bado sana
 
Jamaa yupo vizuri, siku asipokuwepo kipindi kinadorora ile mbaya. akina mkambala, mary na oresti bado sana
Jamaa Kibwana Dachi ndiyo anawabeba ktk kipindi cha Morning magic
 
Ukiona mtu anasifiwa humu, ujue ni lichadema.
 
Ili mtangazaji awe professional, ni lazima awe neutral. Kama kaliweza hilo, hongera kwake
 
Kawau pia anajua mengi sana na ni muongozaji mzuri wa kipindi. Saa nyingine anachokoza mada na anajifanya kama hajui lakini huwa anafanya hivyo kwa faida ya wasikilizaji. OK yuko vzr sio siri
 
Ngoja nichangie kidogo
Dachi ni kweli yupo fair

Ila orest kawau ni CHADEMA kwisha kazi
Kila siku kwenye kupaka rangi ni lazima haipambe pambe chadema hivi na kuipaka paka rangi ,

aliyesema orest ni bavicha ajakosea kabisa,
Mimi mwenyewe ndio hisia zangu kwa sababu huyu jamaa ni mchaga, kaona bora akisemee chama chake kupitia morning magic,sijui kama wenzake wanalitambua hilo.
 
Huyu jamaa namwelewa kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…