Hongera sana Mtangazaji na mchambuzi Kibwana Dachi wa Channel Ten na redio Magic FM kwa kazi nzuri

Kwakweli uchambuzi wa magazeti wamewafunika clouds fm ,yaani kina kipanya na pj wanarukaruka tu ,uoga umewajaa, ila 360 kwenye magazeti na stori za town nawapa big up

Efm sijawafuatilia vizuri uchambuzi wao wa magazeti ila naona wa kawaida tu
 
Weka picha basi
 
Kwakweli uchambuzi wa magazeti wamewafunika clouds fm ,yaani kina kipanya na pj wanarukaruka tu ,uoga umewajaa, ila 360 kwenye magazeti na stori za town nawapa big up

Efm sijawafuatilia vizuri uchambuzi wao wa magazeti ila naona wa kawaida tu
Ni kweli kabisa.kila redio na ubora wake
 
aka google,kwanza jamaa anaonyesha anasoma na kujua vitu vingi sana,anakumbukumbu za hari ya juu sana,huwa namkubali sana,hakuna kitu asichokijua hasa kuhusu nchi hii,na huwa anajibu kwa usahihi
Ana uzoefu kiumri lakini anasoma sana
 
Uyu jamaa ni mmoja ya wachambuzi wazuri kabisa. Naweza sema anafanya kipindi kiwe kizuri.
 
Kwa kumsifia huku lazima atakuwa amekosha mioyo ya nyumbu ![emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Duh mna moyo kuna watu bado wanasikiliza Redio za hawa wahenga! Aliyewaroga ni huyu mzee wa sumbawanga.mnalogana sana mpaka frequency zinamchanganya kwenye kazi zake!!! Fundi mitambo wa TBC wahenga
 
Kwa Ujumla kipindi chao hawa Jamaaa wamejipanga sana.

Wako vizuri na wamejitahidi kujiweka katika kila idara katika jamii. Japo Kibwana Dachi ndo muhariri wa kipindi.
 
Kweli Kibwana Dachi ni mtangazaji mahiri anajua anachoongea kwa usahihi japo sauti yake huwa chin sijui ni ile mic anayoongelea,ila tatizo ni akina kawau na team yake kuingilia kati kumkatisha pale anapoongea hiyo usababisha nichukie sana kukosa point ya Dachi.

Ombi langu naombeni sana Kawau na team yako mwacheni Kibwana Dachi atoe maelezo ya kina pale anapotoa ufafanuzi wa jambo fulan,msipende kumkatishakatisha anapoteza point.

Nitaanza kuwasikiza kesho km mtamkatiza tena wana JF mashahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…