Rais haapi utii kwa jaji bali anaapa utii kwa katiba.Ndugu yangu acha fikra zilizo lala wakati wewe ni muelewa. Kwa mitano hiyo, tunaona mawaziri na viongozi wengine wanaapa utii mbele ya Rais kwa vile ndio bosi wao. Sasa mbona na Rais anaapa utii mbele ya Jaji mkuu?
Ndio tunapokuja kwenye separation of power katika implementation ya majukumu ya uendeshaji.
Sii unajua kuwa hata bunge laweza kufukuza kazi Rais? Ni mambo tuu ambayo yapo katika katiba ili kuleta kuheshimiana
lilishaulizwa mwanzo akalijibu kwamba siasa kafanye ulikochaguliwaIla swali la mikutano ya vyama vya siasa hajalijibu na kina tido na lyoba hawajamkumbusha....
Yani wewe huishiwagi vioja tumeshakuzoea...Mayala alianza hotuba,kujifagilia na kutangaza kampuni yake na kujipigia debe la kutafuta fursa ikulu .Sehemu kubwa ya aliyonngea yalikuwa hasa ya kujinadi mnadani yeye binafsi.Kwangu naona kama aligeuza Ikulu na ile press conference kama gulio la kujinadi zaidi kuliko kuuliza swali.
Vizuri? Kwamba kwa kuwa serikali ndio inayotoa hela basi inaweza kuipa maelekezo mihimili mingine? Serikali inatoa pesa, ni sawa. Lakini ni nani anayekusanya pesa? Si ni hiyo hiyo inayojinasibu kukusanya? Je, pesa ipo juu ya katiba na sheria za nchi?... Pascal alikuwa smart na amejibiwa vizuri swali la mihimili mitatu!
Ana PhD alikuwa Mwalimu Alaf unasema hajui hata kiswahili? Tutake radhi mkuuNdiyo maana Luna msemo wa kama hujui bora unyamaze, huyu jamaa kabla hajawahi kuhojiwa na waandishi wengi tuliamini atakuwa vizuri upstairs ila mpaka hapa tumeishapata jibu kuwa ni mweupe. Halafu hawa wasiyojielewa waona kaweza.
Kwa waandishi wa Kimataifa hawezi kabisa, ukizingatia hata lugha yenyewe Kiswahili nacho kina Walakini. Sijui lugha gani yupo vizuri sasa, labda kisukuma.
Kabisa mkuu. Pamoja na Waandishi wengi wao walikuwa wakiuliza maswali yasiyo na tija na yasiyohitaji kufikiri bado kachemka vibaya. Kwa Upstairs kaprove failure kabisa. Sasa tumejua uwezo wake wa kujibu hoja. Internationally anaweza chemka vibaya, ukiangalia asivyojua lugha yoyote kiufasaha ndiyo shida maana inapunguza kujiamini.
Kwa Mujib wa katiba au utashi wa akili ambayo ukishavuta bangi akili inakuwa si yako tenalilishaulizwa mwanzo akalijibu kwamba siasa kafanye ulikochaguliwa
Wewe hujui chochote! Kaa kimya tu usidhalilike zaidihATA HAO WANAOMSHANGILIA pASCO NAWAONA KAMA HAWAJITAMBUI. rAIS WA nCHI NDIYO mKUU WA NCHI NA NDO MWENYE DOLA NA HAKUNA KAMA YEYE.
Swali ni alipata wapi mamlaka kama sio alivyunja katibalilishaulizwa mwanzo akalijibu kwamba siasa kafanye ulikochaguliwa
Labda ana njaa ya haki!yaweza kuwa sawa tuHahaha
Ila Kajibiwa Kisiasa!
"Unajua Ni Kwanini Hotuba ya Kusitisha Mikutano na Shughuli za Kisiasa Bungeni?Mpiga Chakula na Mgawaji Ndie Ajuaye Chungu Kilivyo!Soma Katiba Ujue Katika Mihimili Yote Mitatu ni Upi Wenye Nguvu"
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla wa kipekee aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.
Kwanza kaanza kwa kuitaja JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.
Ina maana anatumia pesa kuvunja katiba ,Vizuri? Kwamba kwa kuwa serikali ndio inayotoa hela basi inaweza kuipa maelekezo mihimili mingine? Serikali inatoa pesa, ni sawa. Lakini ni nani anayekusanya pesa? Si ni hiyo hiyo inayojinasibu kukusanya? Je, pesa ipo juu ya katiba na sheria za nchi?