chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,118
Swali ZURI Majibu mepesi MNOOO. Eti Mayalla ni Njaa. Eti Mayalla Oyee! Hebu tuwe WAKWELI: Hili ndo jibu kwa swali lililoulizwa. Msingi wa jibu ni kuwa Mhimili mmoja UNATAFUTA hela na kuzigawa. Je, hii ndo sababu wa kuiingilia? Kwa maoni YANGU: Swali HALIKUJIBIWA!Maana ya Mayala ni "njaa" kwa kisukuma,amesema Magufuli
Tido Mhando na Ayoub Rioba walikaa kimya bila follow upSwala la kufuta mikutano ya vyama vya siasa limepotezewa, ila kama utafwatilia majibu ya mkuu utagundua kuwa since yeye ndiyo mtoa hela atataka kuona mihimili mingine inayojitegemea inafwata muhili anaousimamia yeye unachotaka
Tuna kiongozi wa ajabu sana!!!!!!!!Inavyooneka [HASHTAG]#Pasco[/HASHTAG] wa JF sio [HASHTAG]#Pascal[/HASHTAG] Mayalla wa JF, inaonyesha kabisa hawa ni member wawili tofauti...
Anyway, napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa kaka Pascal Mayalla, shikamoo kaka Pascal!
Ila jibu alilolipata sasa!! hiiiiii!!!
Kaaaazi kweli kweli!
Kwa hiyo kwasababu serikali ndio inatoa pesa basi rais anauwezo wa kwenda kinyume na katiba na kufanya analolitaka na maamuzi yoyote anayoyataka juu ya hiyo mihimili mingine?
Ndio maana nasema anahitaji semina elekezi ajue mamlaka yake, mipaka na ukomo wake pamoja na anapaswa kufanya nini kama Rais na kusema nini. Ukweli hajui kabisa, ila kutokujua sio kosa kama atataka kujifunzaSeparation of powers haina ukuu
Hapa tukubaliane tu kuwa dhana nzima hakuielewa, hilo halina mjadala
Kwamba mhimili unaotoa pesa ndio superior! serious!
Hakwepo alitajaaa imooo na tarehe plus venue wakati akijibu swali la mwandish WA star tv aliuliza maadili na uvaaji fyyuuuuu huyu boya vitu vipo kibao anauliza uvaajihivi Ruge nae alikuwemo? nimeskia anasifiwa tu na imoo yake.... nilitamani aulize swali la kiboyaboya
Ni kweli amesema hivyo yeye lakini ndivyo ilivyo kikatiba? Mbona katiba inaipa bunge nguvu ya kumwajibisha rais endapo atakiuka maadili au kuvunja katiba? Ndio maana Mzee Butiku alisema hatuhitaji rais TEMBO!Rais kasema hivi ''Katika mihimili mitatu upo mmoja uliozama zaidi'' Ukielewa hilo hoja zako zote hapo juu zinakosa mashiko
Mkuu panapo stahili pongezi kwanini mtu asipongezwee!,napohitaji kukosolewa lazima atakosolewa tuu.ni nyie kesho mtakuja kumponda hapa akimsifia huyohuyo aliyeshindwa kujibu swali vizuri leo..