Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nchi tunaipenda ni ya wote na kumbuka Rais ni binadamu siyo Mungu anamazuri yake na mapungufu pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Out of orderMayala alianza hotuba,kujifagilia na kutangaza kampuni yake na kujipigia debe la kutafuta fursa ikulu .Sehemu kubwa ya aliyonngea yalikuwa hasa ya kujinadi mnadani yeye binafsi.Kwangu naona kama aligeuza Ikulu na ile press conference kama gulio la kujinadi zaidi kuliko kuuliza swali.
Kama katika marking kungekuwa na negative rating ningekupa (-100%) kwa huu UP ulioenda. Chukua 0% yako inakutosha kwa hilo jibu lakoKifungu kinachompa mamlaka rais ni kuanishwa kwa majukumu yake, kuwa Serikali ndiyo mkusanyaji mapato na msimamizi wa matumizi ya pesa, kwa maana hiyo muajiri mkuu ndiye anayebuni vyanzo na ndiye anayesimamia matumizi ya mapato hayo. Udhibiti wa Safari za nje lengo lake ni udhibiti wa Matumizi ya pesa ya umma ambapo mihimili mingine yote inaomba pesa toka kwa muidhinishaji mkuu ambaye ni rais. Makosa yetu ni kudhani mihimili mingine imeingiliwa kwa kuzuiwa kusafiri tu hatuendi mbali na kujua udhibiti huo wa safari lengo ni kudhibiti matumizi ya fedha za umma ambazo zingeweza kutumiwa kwa shughuli nyingine za muhimu zaidi. Hii NDIYO MAANA YA MAJIBU YA RAIS kwa Pascal Mayalla
Kuingilia kwa maana gani? Kwamba wakitaka kusafiri inabidi wapate state house clearance ni kuingilia muhimili mwingine? Hufahamu kwamba utaratibu huo upo siku nyingi?1.Kuwa head of state maana yake ni kuingilia mihimili mingine? 2. Unakubaliana na kinachofanyika kwa kuwa kinafanywa na head of state?
Ni kweli kabisa lilikuwa swali zuri, zuri mno.
Ni kweli kabisa lilikuwa swali zuri, zuri mno.
labda hukumsikia john walkerMayara??
Rejea swali la Mayala!Kuingilia kwa maana gani? Kwamba wakitaka kusafiri inabidi wapate state house clearance ni kuingilia muhimili mwingine? Hufahamu kwamba utaratibu huo upo siku nyingi?
Yeye mwenyewe kabla ya maswali yake kwa rais alijitambulisha ni member mwandamizi wa JamiiforumsHahahaha mkuu mi mwenyewe nilikua napata shida nilikua nikidhani ni huyu wa jf, kumbe huyu wa jf ni mropokaji wa humu tu hana lolote, shame on him
Hiyo nahau nimeipenda!!"penye udhia penyeza rupia"
ahahahahahahahaaaaaaa!!!!!
"haupo mkate mgumu mbele ya chai"..
tehe tehe tehe!!
Ogopa sana kuujua ukweli na undani wako.Mapungufu yako,kama anayekueleza anaeleza taratibu kama Mayalla.Unaweza anguka ghafla.Mayalla ameuliza baadhi ya mapungufu ambayo kila mtu anayo.Binafsi ningeunga unga tu majibu.Ila ukweli utabaki kama hivi,Baba atimize majukumu ya familia kama ilivyo siku zote.Mama na atkmize wajibu wake kama mama.Na watoto pia wathamini majukumu yao.Hapo ndipo familia huwa bora.Nchii yetu ni mfano wa familia flani hivi.Baba kuwa mkali sana haimaanishi utaogopwa.Hapana wote tutakaa pembeni huku tukiiga ukali wako.Na kusema ngoja tuoone mzee atafikia wapi.Kuongoza watu hasa kizazi hiki cha nyoka.Huhitaji nguvu kubwa ya kuongea na vitisho.Ndio maana kila kukicha mitaa inazidi kubadilika na matatizo hayaishi.Wajifunze kuepuka ushabiki na kuja ghafla na matamko ambayo yana athari kubwa kwa raia.Hasa wasio kuhitaji.Ni wawili mkuu, Sami Awami wa BBC naye kamchapa swali la Demokrasia ameshindwa kujibu kifasaha. Maswali magumu anapanic.
Wakuu kama mnakumbuka mdau mbishi wa Katiba ya Warioba Bwn.Humphrey Polepole alipewa ukuu wa Wilaya.Hii ilitafsriwa kuwa ni kumziba mdogo bwana huyu kwa kutumia kipande cha keki.Bwana yule hakuna na uwezo wa kutema kile kipande utamu ukamzidia Leo hii ni DC wa Ubungo cheo ambacho alikipinga sana akiwa timu ya Warioba.
Sasa from Nowhere amekuja Mwana JF mwenzangu Pasco,amevuma sana Leo mitandaoni.Paskali amehoji mambo magumu sana na hayakupata majibu,si kwa bahati mbaya,bali hakukuwa na majibu.
Je,mbinu iliyotumika kumrambisha udambwi-dambwi H.Polepole au Dr. Ryoba utatumika kwa Msukuma Paskali?
Ombi:Kwa kuwa Paskali amewahi kutuambia humu kuwa yeye hana shida na cheo kwa kuwa ana kipato kinachomtosha,Je uyaendelea na msimamo wako. Je,unamshauri nini Polepole kwa yale majibu ya Rais Hakuna katiba mpya?
mkuu,Nimemsikia Pasco Mayalla akiuliza swali kwamba Rais amepata wapi mamlaka ya kuwaambia Wabunge (legislature) na Mahakama (Judiciary) waombe ruhusa kwake watakapo kusafiri?
Hoja ya Pasco ni kwamba kuna separation of powers yaani Executive, Judiciary na Legislature ambazo zinatakiwa zifanye kazi bila kuingiliana. Hilo ni sawa ila Pasco kweli hafahamu kwamba Rais wa Jamhuri ni mkuu wa dola na chini ya dola ndio unapata executive arm, judiciary arm na legisleture?
Hajui kwamba Rais wa Jamhuri ni Head of Government na wakati huohuo ni Head of the State?