Kim Il Kwon
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 1,219
- 1,035
mkuu nini tatizo?It's enough already,mbona pasco anapewa macredit utafikiri hilo swali tulikuwa hatuliulizi humu kila siku...mnamsifia sana mpaka inaboa,pasco mwenyewe sometimes anakuwa wa hovyohovyo humu!!!
Wivu Utakuua muda si mrefuMbona swali la Pasco lilikuwa la kipuuzi tu, yaani mpaka sasa namchukia sana huyu kiumbe. Huwezi kuuliza swali ambalo unajua jibu lake ni kuwa katiba ya nchi yetu inampatia rais mamlaka ya mwisho ya maamuzi. Pasco anatumika maana kama alideki ili lowasa awe rais sishangai ile kuendelea kutumika
Lengo ni kufurahishwa au lengo ni mtazamo wa nchi. Kama una kumbukumbu watu katika hili suala walitaka kumtoa roho Alli Hapi, leo suala hili hili wamelisahau.Paschal amewafurahisha wengi.
Ukiangalia sana utakuta swali la Mayalla na Sammy ni swali lenye mada moja. Ila Mayalla aliuliza kwa style ya kimahakama (basing on facts and evidence) ie. katiba inaruhusu a, b, and c lakini wewe unasema hakuna ruksa, Kwanini? Sammy aliuliza kwa kujikita kwenye minong'ono zaidi (hearsay). ie inasemekana wewe uko hivi na hivi.....ni kweli? Kwa Mayalla rais hakuwa na jibu rahisi na (la pili hakujibu) wakati kwa Sammy alikanusha kirahisi kwa njia ile ile ya ''this is just a hearsay''Kumekuwa na dhana kuwa mtu pekee aliyeuliza swali la msingi kwa Mh. Rais ni Mayalla pekee. Ni kweli anastahili pongezi kwa swali lake bora kabisa.
Lakini pia kuna mtu mmoja aliuliza swali ambalo ukikaa na kufikiri zaidi ni suala ambalo ndilo lililo hot kwa sasa, na wapinzani pamoja na wanaharakati wamekuwa wakilipigia kelele. Swali liliulizwa na mwandishi wa BBC "SAMI AWAMI" Lilikuwa liki dai "INAONEKANA RAIS ANATUMIA KUKANDAMIZA DEMORASIA KWA EXCUSE YA MAENDELEO, HASA BAADA YA KUZUIA MIKUTANO YA WAZI YA VYAMA VYA SIASA"
Leo hii tumesahau na huku tulikolalamika kila kukicha kuwa rais anakandamiza uhuru na haki ya kufanya siasa, uhuru wa kujieleza, Uhuru wa kutoa maoni.
Mimi kwa upande wangu nilimuelewa sana huyu mtu. Nadhani Pasco amekuwa popular kwa kuwa tu alijinasabisha kuwa ni member wa JF, ndio maana leo tumesahau watu wengine makini kama hawa kuwapa credit na kutoa airtime zaidi kujadili hoja zao.
Nawasilisha.
Hapana.Amani kwenu wana JF,
Katika mkutano wa Mh. Rais na Waandishi wa habari tar 04.11.2016 mwandishi Pasco Mayalla ndo mwandishi pekee aliyeonekana kujipanga na kumuuliza Rais swali lenye tija kwa Taifa bila woga, ingawa hakupewa jibu linalostahili, Pasco alijaa ujasiri na kujiamini ktk kazi yake ukilinganisha na waandishi wengine waliojaa wonga kwa kumwogopa Mh. Raia wetu, aina 10 ya akina Pasco inatosha kabisa kuleta MABADILIKO ktk tasinia ya uandishi wa habari, Hongera sn Pasco Mayalla.
Wivu Wa kiwango cha lamiIt's enough already,mbona pasco anapewa macredit utafikiri hilo swali tulikuwa hatuliulizi humu kila siku...mnamsifia sana mpaka inaboa,pasco mwenyewe sometimes anakuwa wa hovyohovyo humu!!!
Kwani Pascal Mayalla anasifiwa humu tu JF??....
....
....
Mimi kwa upande wangu nilimuelewa sana huyu mtu. Nadhani Pasco amekuwa popular kwa kuwa tu alijinasabisha kuwa ni member wa JF, ndio maana leo tumesahau watu wengine makini kama hawa kuwapa credit na kutoa airtime zaidi kujadili hoja zao.
Nawasilisha.