Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Kwa mamlaka yapi????
 
Pascal mayala jinsi alivyotupa credit wana jf nimependa. Pia nimegundua kama we ni public figure na una id fake hapa jf basi tafuta na id ya ukweli il utoe credit vizuri as Pascal did. Najua wanahabari wengi wana id fake inakuwa ngumu ku cite jf. Bravo pascal umeiwakilisha jf
 
Vipi kuhusu Mikutano ya SIASA
 
Pasco Mayala Mzee wa kipindi cha KITIMOTO enzi zile.
Mayala alianza hotuba,kujifagilia na kutangaza kampuni yake na kujipigia debe la kutafuta fursa ikulu .Sehemu kubwa ya aliyonngea yalikuwa hasa ya kujinadi mnadani yeye binafsi.Kwangu naona kama aligeuza Ikulu na ile press conference kama gulio la kujinadi zaidi kuliko kuuliza swali.
 
hATA HAO WANAOMSHANGILIA pASCO NAWAONA KAMA HAWAJITAMBUI. rAIS WA nCHI NDIYO mKUU WA NCHI NA NDO MWENYE DOLA NA HAKUNA KAMA YEYE.
Akili uliyotumia kuandika hapa niyako..!! au ndio zile Lumumba...
Kwanini anaapa kuilinda nakuihifadhi KATIBA ikiwa anajua yuko juu ya KATOBA....akili za wapi hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…