Reina princess
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 1,322
- 1,502
Mna exaggerate....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa naweza nikaamini ule uzi wa jana kwamba kuna waandishi walipewa maswali ya kuuliza. Haiwezekani waandishi wote wale swali la msingi na lenye akili litoke kwa Pasco Mayalla peke yake.Pasco kanifuraisha kwa swali lake la msingi na muhimu kwa siku ya Leo. Waandishi wengine wameuliza maswali mepesi mepesi tu, pia kuipasha JF wengi hupita JF na kuitokui acknowledge.
Mwanzoni mlisema waandishi watakuwa wameandaliwa sasa hivi mnaleta ngonjera mpya Magufuli ni kiboko yenuNi wawili mkuu, Sami Awami wa BBC naye kamchapa swali la Demokrasia ameshindwa kujibu kifasaha. Maswali magumu anapanic.
Huyu mzee nadhani inaweza kuwa siku ngumu sana kwake leo.Na yule katibu mtendaji wa chama cha waandishi wa habari