Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hakika. Kauliza swali zuri sana. Nadhani na yule mama alouliza juu ya Ajira, Aliyoyategemea na kuyakuta ama kutoyakuta na pia anpendelea nini?

Manyerere pia kauliza vizuri sana juu ya msimamo wetu juu ya Morocco.
 
Heshima kwake aseee swali la msingi na majibu ya.......................kila mtu kasikia
 
Nimemsikia Pasco Mayalla akiuliza swali kwamba Rais amepata wapi mamlaka ya kuwaambia Wabunge (legislature) na Mahakama (Judiciary) waombe ruhusa kwake watakapo kusafiri?

Hoja ya Pasco ni kwamba kuna separation of powers yaani Executive, Judiciary na Legislature ambazo zinatakiwa zifanye kazi bila kuingiliana. Hilo ni sawa ila Pasco kweli hafahamu kwamba Rais wa Jamhuri ni mkuu wa dola na chini ya dola ndio unapata executive arm, judiciary arm na legisleture?

Hajui kwamba Rais wa Jamhuri ni Head of Government na wakati huohuo ni Head of the State?


hATA HAO WANAOMSHANGILIA pASCO NAWAONA KAMA HAWAJITAMBUI. rAIS WA nCHI NDIYO mKUU WA NCHI NA NDO MWENYE DOLA NA HAKUNA KAMA YEYE.
 
Si mmesema waandishi wa habari wa kuuliza maswali wameandaliwa na maswali wameandikiwa?
 
key word kwenye swali la Mayalla ni "mamlaka". Wapi Rais anapata mamlaka haya. Hilo la kwamba pesa inatoka wapi sio issue. Je, ni kwa vile pesa ya kuitunza familia unaitoa wewe basi unaweza kuifanya utakavyo? Hapana, baba kutoa pesa za kuhudumia familia ni wajibu na takwa la kisheria lakini namna anayopaswa kui-treat lina mipaka yake huwezi kusema leo unakataza watoto wasiende shule kwa miezi minne eti kwa vile unawapa pesa wewe. So hajajibu swali na anajua hana mamlaka hiyo kisheria na kikatiba
 
Fao fao fao fao fao
Baadhi ya waandishi ni mizigo kwa kweli.
Mm nimefurahishwa na aliyeuliza kuhusu
-Katiba
-ajira
sijamsikia aliyeuliza kuhusu fao la kujutoa, waandishi wetu bado sana hata mukulu maswali kajibu kisiasa sana
 
Back
Top Bottom