Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

Kamuuliza kuwa kapata wapi mamlaka ya kuzuia safari za watumishi nje wakati kuna mihimili mitatu na yote inajiongoza yenyewe? Pia kwa nini mikusanyiko ya kisiasa inatambulika na katiba lakini yeye kaizuia wakati aliapa kutumikia nchi kwa mujibu wa katiba?
Kama wangekuwepo hata watano tuu wenye mwelekeo wa Pasco hakika angependa hayo masaa mawili ya ishe aondoke, lakini kwa vile waliopo wengi ni makanjanja basi kawaambia waulize mpaka wachoke wenyewe.
Ni pasco huyu huyu wa humu au ni mwingine?
 
Sasa huyu muandamizi wetu ameshindwa kujua kwamba kwanini Raisi alitumia Bunge kutoa hio hotuba.hajui kwamba Rais anafanya mambo kwa itifaki.
 
Hakika nimefurahishwa sana na Mwandishi huyu Pascal Mayalla yeye pekee ndiye aliyemuuliza swali Rais lenye msingi na hata rais kajibu kwa ubabaishaji. Natafuta clip au mwenye nayo aiweke.

Kwanza kaanza kwa kuitaji JamiiForums kwa kusema ni mwanachama mwandamizi wa JamiiForums.
Aisee kweli, hata mimi nimesikia. Bravo Paskali
 
Safi sana, ndio swali pekee lililompa shida Rais kulijibu, kalijibu kisiasa sana
 
Hongera sana Pascal, nmejisikia fahari sababu umetoka kwenye jukwa letu ,lkn ajabu ya mkuu kajibu kiutani utani na maswali mengine hajajibu daaaaaaa
 
mi nimefurah kaipaisha jamii foroum tu..hv hajui kua katiba ndio inayompa madaraka?????lkatiba ya tanzania si ya marekani.
 
Nimefurahishwa sana na swali la pasco....najivunia kuwa jukwaa moja na mwandishi kama huyo hapa jf, like swali mpk nimemuona mheshimiwa Rais akitoka nje ya mood...... heko Pascal......sio hao waandishi wengine wanajikomba na maswali mepesi.
 
Back
Top Bottom