BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Mkuu basi tuseme pacha wake mama moja baba moja. Nadhani sitakosea nikisema uwepo wa Pasco hapa jamvini na ushiriki wake mkubwa umemsaidia kumpanua mawazo ingawaje kuna wakati anakuwa kama wale Buku 7.
Naomba Musisahau Sio Pasco wa JF, Ni Pasco Mayalla wa Kiti moto cha Enzi zileeeee! Huyu wa JF Ni stooge wa Lumumba!